Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,111
- 2,748
Hawa ndio wanaopitisha miswada kandamizi. Ni hawa ndio vinara wa rushwa. Ni hawa ndio vinara wa ufisadi. Leo tunalia kodi, tunalia sharia za mtandao ambayo inaruhusu yeyote anayempinga rais kukamatwa na kupewa mashtaka ya kichochezji.
Leo Mbunge wa CCM anapelekewa muswada kandamizi ya vyombo vya habari. Sina shaka, huu mswada utapita bila kupingwa
Ni mbunge wa CCM ndiye anayediriki kuomba sanamu ya rais akipiga pushup ijengwe, huku wananchi wake hawana hata chakula. Nadhani ni muda wananchi tukaamka tupambane na hawa wabunge wa CCM. vinginevyo tutajikuta Tanzania inageuka kuwa jehanamu.
Leo Mbunge wa CCM anapelekewa muswada kandamizi ya vyombo vya habari. Sina shaka, huu mswada utapita bila kupingwa
Ni mbunge wa CCM ndiye anayediriki kuomba sanamu ya rais akipiga pushup ijengwe, huku wananchi wake hawana hata chakula. Nadhani ni muda wananchi tukaamka tupambane na hawa wabunge wa CCM. vinginevyo tutajikuta Tanzania inageuka kuwa jehanamu.