Wise Sister
Member
- May 27, 2014
- 52
- 51
Waungwana, nawasalimu.
Naomba msaada ndugu zangu mwenye admission letter za mzumbe 2016/2017 especially Mbeya campus anisaidie. Au mwenye kufahamu chuo kinafunguliwa lini na first year wanaanza kuripot lini. Nitashukuru Sana, kuna bwana mdogo amechaguliwa hapo.
Asanteni
Naomba msaada ndugu zangu mwenye admission letter za mzumbe 2016/2017 especially Mbeya campus anisaidie. Au mwenye kufahamu chuo kinafunguliwa lini na first year wanaanza kuripot lini. Nitashukuru Sana, kuna bwana mdogo amechaguliwa hapo.
Asanteni