Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,345
Kampuni ya vifaa vya michezo ya Ujerumani, Adidas, imeingia mkataba wa kuidhamini klabu ya Manchester United kwa kipindi cha miaka kumi kuanzia msimu wa 2015/16.
Mkataba huo ambao utakuwa ndio mnono kuliko yote duniani kwa upande wa vifaa vya michezo unatajwa kuwa wa thamani ya Pauni 750 Milioni kwa mgawanyo wa Paundi 75 Milioni kwa mwaka.
Chanzo: Manchester United plc reaches agreement with adidas - Official Manchester United Website
Mkataba huo ambao utakuwa ndio mnono kuliko yote duniani kwa upande wa vifaa vya michezo unatajwa kuwa wa thamani ya Pauni 750 Milioni kwa mgawanyo wa Paundi 75 Milioni kwa mwaka.
Chanzo: Manchester United plc reaches agreement with adidas - Official Manchester United Website