Ndomaana baada ya kuhitimu shule tulipoenda JKT tuliishikwa raha mustarehe, tena ilikuwa mwaka mzima na bado tuliona ni muda mfupi mno. haya sasa hawa washuleshule wa kileo, kizazi cha tom and jeri, wakapewa miezi sita wakaona karne, nasikia sasa wamepewa miezi mitatu lakini bado tu hoi.