Tatizo sio choo,wewe itakua unakula sana maharage na dagaaMambo vipi,
Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimeama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.
Sasa tatzo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Wakati mwengine mambo kama haya unatafuta hata fundi hapo mtaani unamshirikisha ili akupe njia ya kusawazisha baadhi ya mambo otherwise utadhalilika kama inavyotokea hapa.
Siyo kwamba humwagi maji mengi uchafu ukaenda hiyo hali inatokana na mgandamizo wa hewa kwenye shimo kubwa nje,obviously tatizo lipo kwenye line ya kutoka chooni (humo ndani) kwenda kwenye septic tank hawakuweka bomba mmabadala kuzuia harufu isirudi ndani,fanya hivi.
Kama pale kwenye shimo kubwa nje imewekwa bomba moja ita fundi akuwekee lingine hapo lilipotokea bomba la kusafirisha uchafu (namaanisha hapo karibu kabisa na ukuta wa choo chako cha ndani) hiyo hali itaisha.
Mkuu, hapa mimi nimekuelewa vizuri sana.
Lakini nina mashaka kama mleta mada atakuelewa. Anyway, nafikiri mleta mada anatakiwa alete fundi ili abadilishe discharge leni kutoka ya kawaida na awekewe ile yenye kufanana na shingo ya bata.
Ile pipe ya shingo ya bata inafaa zaidi kwasababu itaweza kuzuwia hewa inayo rudi ndani kwa kubakiza masalia ya maji kidogo yatakayo tuama na kufanya mgandamizo wa hewa isirudi ndani
Ushauri mzuri kabisa huu. Pia fundi anaweza akaangalia kama kwenye sink la choo hicho waliweka P trap inayosaidia kubakiza maji unayotumia kuflash choo. Hayo maji hubaki hapo ili kuzuia harufu toka shimoni (septic tank) kuja ndani. Kama hiyo p trap ipo basi aiangalie kama iliwekwa vizuri.
Otherwise, maelezo ya ujumbe hapo juu yahusike. Inshort hilo tatizo sio lakutatua kwa sabuni. Unless huflash vizuri.
Correct, hiyo shingo ya bata huitwa "P trap"
Mafundi uchwara mara nyingi hawaiweki hiyo either kwakukwepa gharama yakuinunua, au levels za kuiset ili iendane la level ya bomba linalopeleka huo uchafu kwenye shimo. Ni muhimu sana hiyo katika zoezi la uzuiaji wa harufu kurudi ndani
Nimewaelewa vizuri sana wakuu.Mkuu, kama ukiweza mwambie mwenye nyumba abadikishe mfumo wa maji taka na aweke hiyo pipe Kama ni choo cha kuchuchumaa, lakini kama ni choo cha kukaa aweke cha kufanana na hiyo niliyo ambatanisha pichaView attachment 1591530View attachment 1591531
hizo masta waachieni wazungu sisi waafrika choo tuweke nje tu
Sawasawa kabisa mkuu,na azingatie sana ulichokiandika hapo paragraph ya mwisho.Mkuu, hapa mimi nimekuelewa vizuri sana.
Lakini nina mashaka kama mleta mada atakuelewa. Anyway, nafikiri mleta mada anatakiwa alete fundi ili abadilishe discharge leni kutoka ya kawaida na awekewe ile yenye kufanana na shingo ya bata.
Ile pipe ya shingo ya bata inafaa zaidi kwasababu itaweza kuzuwia hewa inayo rudi ndani kwa kubakiza masalia ya maji kidogo yatakayo tuama na kufanya mgandamizo wa hewa isirudi ndani
Wakati mwengine mambo kama haya unatafuta hata fundi hapo mtaani unamshirikisha ili akupe njia ya kusawazisha baadhi ya mambo otherwise utadhalilika kama inavyotokea hapa.
Siyo kwamba humwagi maji mengi uchafu ukaenda hiyo hali inatokana na mgandamizo wa hewa kwenye shimo kubwa nje,obviously tatizo lipo kwenye line ya kutoka chooni (humo ndani) kwenda kwenye septic tank hawakuweka bomba mmabadala kuzuia harufu isirudi ndani,fanya hivi.
Kama pale kwenye shimo kubwa nje imewekwa bomba moja ita fundi akuwekee lingine hapo lilipotokea bomba la kusafirisha uchafu (namaanisha hapo karibu kabisa na ukuta wa choo chako cha ndani) hiyo hali itaisha.
Nina mawazo ya tofauti kidogo mkuu, masink yote huwa yanasetiwa na kitu inaitwa P-trap au S -trap. Hii kazi yake ni kubakiza maji kwenye mfumo/njia nzima ya maji taka kati ya inlet na outlet(kwenye shimo au sewer). Hivyo hakuna harufu inayotoka kwenye sewer (bomba la maji taka la moja kwa moja bila septic tank) kurudi ndani ya nyumba.
Kwa ufupi ajitahidi tu usafi + perfume/air freshner. Zipo nyingi tu mbona.
unafaa kuwa mwalimu wewe👏👏👏Mkuu, kama ukiweza mwambie mwenye nyumba abadikishe mfumo wa maji taka na aweke hiyo pipe Kama ni choo cha kuchuchumaa, lakini kama ni choo cha kukaa aweke cha kufanana na hiyo niliyo ambatanisha pichaView attachment 1591530View attachment 1591531
Kwanza shida kuu hapo hakuna P trap ya kudaka maji ili harufu from septic tank isije ndani. Pili kama ni choo cha kuchuchumaa jitahidi uwe kila mzigo ukidondoka mwaga maji ili harufu isisambae. Hapa ndiyo utaona faida ya choo cha kukaa maana mzigo ukishuka unatua kwenye maji kabla harufu haijasambaa.Tena wakati mwengine bila hata harufuu dawa ni maji mengi kama choo hakina tatizo
Acha uwongo, bora ungesema ale mbogamboga kwa wingi...Wengi hawajaelewa mada.
Anyway, suluhisho hapo ni kujitahidi kula matunda na maji kwa wingi. Pia jitahidi kupunguza kiwango cha chumvi kwenye chakula. Nadhani itasaidia
ahsante mkuu japo nilitaman kujua aina ya sabun mnayotumia ninyi ili nami niitafute maana natumiaga deto ila naona kama sijarizika nayo.Tumia maji mengi Ku flash choo na pia nunua sabuni za chooni zinatosha tuu , Kama unaishi sehem maji ni ya shida, hama hapo haraka