Adhabu ninayoipata tangu nihamie chumba cha master, nipeni maujanja

Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimehama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatizo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani, chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
suluhisho sio sabuni bali diet yako mbovu mkuu, kula matunda na maji mengi ushushe gogo linalonuka kwa mbaliii bila kukukera
sasa wewe ukienda lodge na demu inakuwaje🤣
 
Mkuu, hapa mimi nimekuelewa vizuri sana.

Lakini nina mashaka kama mleta mada atakuelewa. Anyway, nafikiri mleta mada anatakiwa alete fundi ili abadilishe discharge line kutoka ya kawaida na awekewe ile (P-Trap) yenye kufanana na shingo ya bata.

Ile pipe ya shingo ya bata inafaa zaidi kwasababu itaweza kuzuwia hewa inayo rudi ndani kwa kubakiza masalia ya maji kidogo yatakayo tuama na kufanya mgandamizo wa hewa isirudi ndani
Hii ndio solution sasa
 
Wakati mwengine mambo kama haya unatafuta hata fundi hapo mtaani unamshirikisha ili akupe njia ya kusawazisha baadhi ya mambo otherwise utadhalilika kama inavyotokea hapa.

Siyo kwamba humwagi maji mengi uchafu ukaenda, hiyo hali inatokana na mgandamizo wa hewa kwenye shimo kubwa nje so inakosekana njia ya kupumulia, obviously tatizo lipo kwenye line ya kutoka chooni (humo ndani) kwenda kwenye septic tank hawakuweka bomba mbadala kuzuia harufu isirudi ndani, fanya hivi.

Kama pale kwenye shimo kubwa nje imewekwa bomba moja ita fundi akuwekee lingine hapo lilipotokea bomba la kusafirisha uchafu (namaanisha hapo karibu kabisa na ukuta wa choo chako cha ndani) hiyo hali itaisha.
Maelezo mazuri kabisa haya.
 
Tumia maji mengi baada ya kukata ngandi. Tumia hata ndoo ya litre 10 mwaga maji yote kwa pressure kwenye tundu pale panapokuwaga na maji muda wote(kama una choo cha aina hiyo).

Huwezi kuhisi harufu tena baada ya tukio.
 

nyoka wanapenda sana ubaridi hasa kipindi hiki cha joto, hakikisha unaziba station chamber zote labda wakaingilie kwenye sewarage system
ndio tatizo lake kwa sasa km nyumba ni za chini
cc baraka bb
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimehama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatizo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani, chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Nyumba yangu moja ina vyoo 7 ndani.. lakini hakuna harufu kabisa hata kidogo. Tanzania wanajenga kiholela sana. Hio harufu ni septic gases. Ujenzi mzuri lazima kila choo kiwe na vent ya kupeleka hizo gesi juu na mbali. Pia vyoo vya kuchuchumaa havifai ndani sababu havina p trap na watu hawaziweki. P trap ni muhimu kukusanya gesi zisitoke hewani kwa ndani.
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimehama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatizo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani, chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Chumba elfu 50 kina choo ndan! Wapi huko?
 
Hiyo shida hautoiweza kuisolve. Shida sio room yako ila set up nzima ya choo chako ndio ilikosewa so ile harufu haiflow nje inarudi.
Mie nyumba yangu fundi wa kwanza alikosea, ndani ya wiki tangu kuhamia nikakifumua kwa kuzingatia ushauri wa wataalamu.
Tangu kusukwa upya, harufu haipo. So either hama au ingia gharama ya kufumua na kurekebisha.
 
harufu mbaya inaashiria ulaji wa hovyo...unakula ugoro?

kunywa maji ya kutosha daily; na believe me...kimba litatoka safi na harufu ya kawaida
Kula kabeji au mayai unywe maji ulete mrejesho
 
Nimewaelewa vizuri sana wakuu.

Isipokua me naona kama nimemuelewa mtoa mada tofauti.
Tatizo lake sio harufu kutoka kwenye shimo kurudi ndani, maana kwa ushauri wenu hapo juu, mmemshauri kutatua tatizo la harufu kutoka septic tank kurudi ndani.

Yeye anatatizo la harufu kutoka kwenye uchafu fresh kutoka tumboni ukiwa kwenye sink, kabla yakwenda kwenye septic tank. Kawaida hii harufu haitakiwi kurudi chumbani, inatakiwa kuisha ikitokea kwenye ventilation za chooni

Amesema hivi..
Kila akitoka kukata gogo harufu inarudi chumbani, sio harufu yakutoka kwenye shimo, ni harufu ya kinyesi kipya kinachokua kwenye sink, kabla hakijaenda kwenye shimo
Nadhani ndivyo alivyo maanisha nami nilivyo mwelewa... (Fresh smell ya kimba kusambaa chumbani)... Ahakikishe anafunga mlango wa aluminium wa kwenda chooni kwani huwa na rubber zinazo ziba vizuri kutorusu hewa kupita tofauti na milango ya mbao.... Pia setting za nyumba tujengapo kutokana na uelekeo wa upepo .. Unakuta position ya dirisha la chooni ndo linalopokea upepo
 
Mambo vipi,

Uzi huu ni spesho kwa waliopanga au wenye nyumba za masta tu nikimaanisha choo kipo kwenye chumba cha kulala, Hivi karibuni nimehama kutoka chumba kimoja chenye choo cha nje na kuhamia chumba cha kodi elfu50 choo cha ndani.

Sasa tatizo kila nikikata gogo harufu inarudi chumbani, chumba chote kinakuwa puyaaaa daaaah nakereka sana kama kuna sabauni au Air fresh nzuri ya chooni naomba mnielekeze kukata hii harufu.
Mwaga maji mengi halafu ukiwa una mega gogo funga mlango
 
Back
Top Bottom