Nimeona kwenye "clip",kuna mtu kanitumia hiyo dhahama,kwamba abiria wamekaa muda mrefuuu bila magari na huku magari yameegeshwa tu eneo la Kimara Terminal.
Ule upande ambao abiria hawaruhusiwi kufika,leo wamevuka na kutaka kuleta vurugu,polisi wapo wachache na wamezidiwa kuwatuliza abiria,vurugu zimesababisha watu wengi kuingia upande wa waliolipia bila kulipa,hivyo wengi wamesafiri bure leo kuelekea Morocco,Kivukoni na K'koo.
Huu mradi sijui unaogopwa na nini?Huyu Simoni Kisena amekuwa sugu,JPM anagusa kwingine koteeeee,lakini huu ufisadi wa UDART anauogopa!!Hapa yupo Kisena,yule aliyefisidi Nyanza Chama cha Ushirika,huyu ndiye mwenye New Era na kafisidi "Ginneries" za Magu...Aibu sana sana