bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Ni siku ya nne leo maji hayapatikani udsm, kweli mambo hayaendi, vyooni na hakuingiliki!
Shukrani hata kwa haya maji ya clean water yanayoletwa.
Najua na ndugu zetu wengine waliopo nje ya Udsm wanapata adha kama ye2 POLENI PIA.
USHAURI: Dawasco mkiweza kurekebisha haraka itakuwa vyema. KWANI KUNA KILA DALILI ZA KURIPUKA MAGONJWA hasa Hall 5 na 2!!
Shukrani hata kwa haya maji ya clean water yanayoletwa.
Najua na ndugu zetu wengine waliopo nje ya Udsm wanapata adha kama ye2 POLENI PIA.
USHAURI: Dawasco mkiweza kurekebisha haraka itakuwa vyema. KWANI KUNA KILA DALILI ZA KURIPUKA MAGONJWA hasa Hall 5 na 2!!