kwa hiyo ulitaka magereza iwe public (open) path? na nini maana ya magereza. Kwanza pale palitakiwa pawe pamejengwa fence long ago. tatizo walivyoacha watu wawe wanakatisha, tumesha pamiliki. It is there right kufunga that road
Si wanakarabati pale au wamefunga ili isitumike kabisa?