ADEN RAGE na record zake chafu chafu

ADEN RAGE na record zake chafu chafu

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,707
Mnamo tarehe 29 April 1982 taarifa ya habari ya saa mbili usiku ilisema hivi nanukuu-Rais Nyerere amawafukuza kazi maofisa tisa wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu CDA kwa makosa kadhaa ikiwemo wizi na na hujuma mbalimbali katika mamlaka hiyo. Waliofukuzwa ni Moses Kagya, Molleli,Peter Mavunde, Kitonka, Mruma ADEN RAGE n.k.

Akiwa ni clearing na forwarding clerk katika mamlaka hiyo Rage alituhumiwa kwa Ku-diverge furniture za CDA toka Zimbabwe na kupeleka kwingine au kuuza tuhuma hiyo ndiyo ilimfukuza kazi niseme alifukuzwa kazi CDA kwa wizi.

Tuhuma kama hizo ndizo zilizopelekea kufungwa jela akiwa ni katibu mkuu wa FAT japokuwa alitoka kwa rufaa.

Kifupi ADEN RAGE HAFAI KUWA KIONGOZI, Ni aibu kwa Tanzania kuwaweka watu kama hao kuwa viongozi, ni aibu kwa wanyamwezi wa Tabora mjini eti kumchagua awe mbunge wao, ni aibu iliyokithili kabisa.
 
Mnamo tarehe 29 April 1982 taarifa ya habari ya saa mbili usiku ilisema hivi nanukuu-Rais Nyerere amawafukuza kazi maofisa tisa wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu CDA kwa makosa kadhaa ikiwemo wizi na na hujuma mbalimbali katika mamlaka hiyo. Waliofukuzwa ni Moses Kagya, Molleli,Peter Mavunde, Kitonka, Mruma ADEN RAGE n.k.
Akiwa ni clearing na forwarding clerk katika mamlaka hiyo Rage alituhumiwa kwa Ku-diverge furniture za CDA toka Zimbabwe na kupeleka kwingine au kuuza tuhuma hiyo ndiyo ilimfukuza kazi niseme alifukuzwa kazi CDA kwa wizi.

Tuhuma kama hizo ndizo zilizopelekea kufungwa jela akiwa ni katibu mkuu wa FAT japokuwa alitoka kwa rufaa.

Kifupi ADEN RAGE HAFAI KUWA KIONGOZI, Ni aibu kwa Tanzania kuwaweka watu kama hao kuwa viongozi, ni aibu kwa wanyamwezi wa Tabora mjini eti kumchagua awe mbunge wao, ni aibu iliyokithili kabisa.

Umenena, ila usiwalaumu hawa wanahitaji kukombolewa kutoka katika dimbwi la ujinga. ANGALIA WANA MTWARA WALIVYOKOMBOLEWA, usicheze na M4C bwana I believe watakapo tinga kwa Wanyamwezi mambo yatabadilika tu.
 
Ichi chama ni zoa zoa tuu... ata ukiwa askari unaweza kugombea nafasi ndani ya ccm... yani hakina mpangilio ata nukta.. Pamoja na uozo wote huo bado Rage ni mbunge.. ccm wameshazoea kufumbiana macho..
 
Jana alimpiga mtui jiwe dom, hivi alitoka kwa rufaa au alipata msamaha wa Rais?
 
sina data za tuhuma zake nikipata nitarudi kuchangia.
 
Nikikutukana utachukia? WANYAMWEZI WA TABORA MJINI? Umefika Tabora wewe na ukaona kumejaa Makabila mangapi pale? Una uhakika wanaomchagua ni Wanyamwezi tu wa Tabora Mjini? Kwa nini usiseme Watanzania wa Tabora Mjini?

Tabora mjini imejaa watu wengi sana wa kuja na Wenyeji si wengi kama unavyotaka kuwaelewesha hapa na mfano hai ni huyu Rage, Juma Kapuya, Wahindi na Waarabu , Wachaga kibao nk.

Sasa kusema waliomchagua ni Wanyamwezi wa Tabora, hao wengine huwaoni? Msula eve 🙂 hehehehee!!!!.

Siku nyingine jifunze kuandika UKWELI maana walau ingelikuwa SIKONGE, tungelisema sawa ni Wanyamwezi wengi ila Tabora mjini, Wakuja ni Wengi ambao wengine hujiita Wanyamwezi tu ila kumbe ni Watusi wa Rwanda/Burundi, Wanyanyembe, Wasumbwa nk.

Halafu ukituandika Wanyamwezi, anzia herufi kubwa........
.....ni aibu kwa wanyamwezi wa Tabora mjini eti kumchagua awe mbunge wao, ni aibu iliyokithili kabisa.
 
Huyu al shabab rage, i assure you that, his days are numbered. Tutafuta uraia wa kuforge na kumrejesha kwao kisumayu mara moja.
 
Hapo lazima ilikuwa ni sauti ya Jacco Tesha.....maana ndio alikuwa kukiwa na ishu tu za viongozi kufukuzwa anapewa yaye atangaze habari

Mnamo tarehe 29 April 1982 taarifa ya habari ya saa mbili usiku ilisema hivi nanukuu-Rais Nyerere amawafukuza kazi maofisa tisa wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu CDA kwa makosa kadhaa ikiwemo wizi na na hujuma mbalimbali katika mamlaka hiyo. Waliofukuzwa ni Moses Kagya, Molleli,Peter Mavunde, Kitonka, Mruma ADEN RAGE n.k.
Akiwa ni clearing na forwarding clerk katika mamlaka hiyo Rage alituhumiwa kwa Ku-diverge furniture za CDA toka Zimbabwe na kupeleka kwingine au kuuza tuhuma hiyo ndiyo ilimfukuza kazi niseme alifukuzwa kazi CDA kwa wizi.

Tuhuma kama hizo ndizo zilizopelekea kufungwa jela akiwa ni katibu mkuu wa FAT japokuwa alitoka kwa rufaa.

Kifupi ADEN RAGE HAFAI KUWA KIONGOZI, Ni aibu kwa Tanzania kuwaweka watu kama hao kuwa viongozi, ni aibu kwa wanyamwezi wa Tabora mjini eti kumchagua awe mbunge wao, ni aibu iliyokithili kabisa.
 
Aden Rage is a CONVICTED CRIMINAL, hakutoka kwa BEHIND BARS kwa RUFAA bali alitoka kwa MSAMAHA WA RAIS. Haya mambo inabidi tuyarekebishe kwenye katiba mpya. A CONVICTED CRIMINAL anawezaje baadaye kuwa MBUNGE (read mtunga sheria)!

Enzi hizo wakati CCM ina MAADILI, watu kama hawa CRIMINALS walikuwa hawawezi kabisa kupata uongozi kwenye chama. Lakini kwakuwa CCM imekosa DIRA NA MWELEKEO ndiyo maana CRIMINALS na MAJANGILI wanapata uongozi katika Chama.
 
  • Thanks
Reactions: JGG
Mnamo tarehe 29 April 1982 taarifa ya habari ya saa mbili usiku ilisema hivi nanukuu-Rais Nyerere amawafukuza kazi maofisa tisa wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu CDA kwa makosa kadhaa ikiwemo wizi na na hujuma mbalimbali katika mamlaka hiyo. Waliofukuzwa ni Moses Kagya, Molleli,Peter Mavunde, Kitonka, Mruma ADEN RAGE n.k.
Akiwa ni clearing na forwarding clerk katika mamlaka hiyo Rage alituhumiwa kwa Ku-diverge furniture za CDA toka Zimbabwe na kupeleka kwingine au kuuza tuhuma hiyo ndiyo ilimfukuza kazi niseme alifukuzwa kazi CDA kwa wizi.

Tuhuma kama hizo ndizo zilizopelekea kufungwa jela akiwa ni katibu mkuu wa FAT japokuwa alitoka kwa rufaa.

Kifupi ADEN RAGE HAFAI KUWA KIONGOZI, Ni aibu kwa Tanzania kuwaweka watu kama hao kuwa viongozi, ni aibu kwa wanyamwezi wa Tabora mjini eti kumchagua awe mbunge wao, ni aibu iliyokithili kabisa.

Hakutoka kwa rufaa bali aliachiwa na Kikwete kwa msamaha wa rais
 
  • Thanks
Reactions: JGG
Ndiyo maana mimi nimesitisha upenzi wangu kwa klabu ya Simba mpaka huyu gaidi wa kisomali aondoke madarakani hapo Msimabazi.
 
Nikikutukana utachukia? WANYAMWEZI WA TABORA MJINI? Umefika Tabora wewe na ukaona kumejaa Makabila mangapi pale? Una uhakika wanaomchagua ni Wanyamwezi tu wa Tabora Mjini? Kwa nini usiseme Watanzania wa Tabora Mjini?

Tabora mjini imejaa watu wengi sana wa kuja na Wenyeji si wengi kama unavyotaka kuwaelewesha hapa na mfano hai ni huyu Rage, Juma Kapuya, Wahindi na Waarabu , Wachaga kibao nk.

Sasa kusema waliomchagua ni Wanyamwezi wa Tabora, hao wengine huwaoni? Msula eve 🙂 hehehehee!!!!.

Siku nyingine jifunze kuandika UKWELI maana walau ingelikuwa SIKONGE, tungelisema sawa ni Wanyamwezi wengi ila Tabora mjini, Wakuja ni Wengi ambao wengine hujiita Wanyamwezi tu ila kumbe ni Watusi wa Rwanda/Burundi, Wanyanyembe, Wasumbwa nk.

Halafu ukituandika Wanyamwezi, anzia herufi kubwa........
tabora mjini kuna masalia wengi sana, ndiyo maana kuna ka umwinyi mwinyi na huo huo ndiyo ukamfanya aden apenyeze rupia na kupata ubunge. Yes ukiongea wananyawezi halisi nenda Sikonge na ukipenda nyoosha kama km 12 utafika Ipole kata ya CDM.

Hapo ndiyo utakuwa wanyawezi (magosya ga mpasa) -- utanikuta nitakupa ugali ule, viburudisho vipo :kimpumu, kangara au wanzuki chaguo lako, pia utakuwa na uhakika wa kula na kulala - ukiwa mtani wangu basi tutakupa na mtoto wa kinyawezi bila mahari.

kasula aka wooo.........:becky:
 
Mambo yana wana-Tabora waachieni wenyewe.
Wakikua wataacha!
 
let rage enjoy his last days b4 ccm R.I.P
 
Mami Fuso, umenirudisha mitaa ya Home kabisa. Yes, nenda hadi Igigwa, Kiloleli, Kisanga, Mole, Utawambogo nk huko ndiyo unakuta kile Kinyamwezi cha kweli kweli. Tabora Mjini wamejaa wenyeji wa Ujiji na unakuja kuita Wanyamwezi.
tabora mjini kuna masalia wengi sana, ndiyo maana kuna ka umwinyi mwinyi na huo huo ndiyo ukamfanya aden apenyeze rupia na kupata ubunge. Yes ukiongea wananyawezi halisi nenda Sikonge na ukipenda nyoosha kama km 12 utafika Ipole kata ya CDM.

Hapo ndiyo utakuwa wanyawezi (magosya ga mpasa) -- utanikuta nitakupa ugali ule, viburudisho vipo :kimpumu, kangara au wanzuki chaguo lako, pia utakuwa na uhakika wa kula na kulala - ukiwa mtani wangu basi tutakupa na mtoto wa kinyawezi bila mahari.

kasula aka wooo.........:becky:
 
Mnamo tarehe 29 April 1982 taarifa ya habari ya saa mbili usiku ilisema hivi nanukuu-Rais Nyerere amawafukuza kazi maofisa tisa wa mamlaka ya usitawishaji makao makuu CDA kwa makosa kadhaa ikiwemo wizi na na hujuma mbalimbali katika mamlaka hiyo. Waliofukuzwa ni Moses Kagya, Molleli,Peter Mavunde, Kitonka, Mruma ADEN RAGE n.k.
Akiwa ni clearing na forwarding clerk katika mamlaka hiyo Rage alituhumiwa kwa Ku-diverge furniture za CDA toka Zimbabwe na kupeleka kwingine au kuuza tuhuma hiyo ndiyo ilimfukuza kazi niseme alifukuzwa kazi CDA kwa wizi.

Tuhuma kama hizo ndizo zilizopelekea kufungwa jela akiwa ni katibu mkuu wa FAT japokuwa alitoka kwa rufaa.

Kifupi ADEN RAGE HAFAI KUWA KIONGOZI, Ni aibu kwa Tanzania kuwaweka watu kama hao kuwa viongozi, ni aibu kwa wanyamwezi wa Tabora mjini eti kumchagua awe mbunge wao, ni aibu iliyokithili kabisa.


Huyu ISMAIL ADEN RAGE ... kumbe ndio alivyo... ni mtu hatari kiasi hiki... hao Simba sports na wanyamwezi wa Tabora wanalijua hili?????????????????
C:%5CDOCUME%7E1%5CConso%5CLOCALS%7E1%5CTemp%5Cmsohtml1%5C01%5Cclip_image002.jpg


 
Nikiwa kama mwanaTabora nasikitika sana jinsi Aden Rage anavyozidi kututia aibu,lakini historia ya Tabora inaonesha kuwa hakuna mbunge anayeshinda awamu mbili mwisho wake ni 2015.
Ndugu Abdala kwa kumbukumbu zangu Rage alitoka kwa msamaha wa Rais lakini rufaa yake iliendelea kusikilizwa na hatimaye akashinda ila ajue 2015 ndiyo mwisho wake Tabora.
Mkuu Sikonge Wanyamwezi Tabora mjini tupo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom