hahahah, masega ndio simenti yenyewe "gundi"
Yamebakia masega tu mkuu.
Yamebakia masega tu mkuu.
Afadhali Yanga kuna kitu kinaendelea tangu watangaze upembuzi yakinifu wa uwanja mwishoni mwa mwaka jana na wakatoa wakatoa mda wa upembuzi kukamilika hadi mei na kweli tumeona ripoti imetolewa na kwa mujib wa uongozi ujenzi unatarajiwa kuanza julai..ni kweli ujenzi haujaanza lakini haihitaji elimu hata ya stnd 7 kuona kuwa hapo kuna dhamira ya ujenzi kuanza...dhanini hata ukiona ujenzi umeanza bado utasema tu maana ni roho ya wivu ndo inakusumbua mtani ndo anapiga hatua hivyo akikuacha umesimama hapo ulipopongezi kwa yanga kwani wameshaanza kujenga? Wote ni wale wale
Hizi hadithi tunazisikia tangu 2005.
kwa ajili ya jimbo lake la taborakwa ajili ya Simba au?