Mwenyekiti wa klabu ya simba Ndg Rage aliahidi wana msimbazi kuwa watajenga uwanja kwa ajili ya klabu ya simba,akasema kwamba Waturuki bdio watakaojenga uwanja na wakati huo walikua wakifanya upembuzi yakinifu.
Ninchojiuliza je huo upembuzi yakinifu ulishafanyika?kama tayari mnasubiri nini kuanza kujenga uwanja?na kama bado je huoni umetudanganya wana msimbazi?
NB;Ndugu wana jamvi kwa jinsi mambo yanavyoenda katika klabu kuna uwezekano kweli wa uwanja kujengwa?
Pongezi za dhati kwa watani zetu wa jangwani kwa hatua waliyofikia na nina waombea nia yao itimie na isjekuwa porojo kama za Bwana Rage.
Nilishasema mara nyingi kuwa huyu ndugu ni mwongo. hakuna cha uwanja wala nini. Nenda Bunju kama utakuta uwanja wanaosema upo kwa ajili ya uwanja wa kisasa wa Simba
ahadi aliyoitoa bwana Rage ni kwamba upembuzi ungekuwa umekamilika tangu mwaka jana,sasa ninchouliza je huo ipembuzi yakinifu bado unaendelea au ndo Utopian kama kawa?
ahadi aliyoitoa bwana Rage ni kwamba upembuzi ungekuwa umekamilika tangu mwaka jana,sasa ninchouliza je huo ipembuzi yakinifu bado unaendelea au ndo Utopian kama kawa?
Tanzania kila kitu kimejaa Siasa sababu viongozi wa mpira ndio wale wale wanasiasa, ukienda kwenye Elimu the Same sasa mnategemea nini na hawataki kuwa achia wengine!