Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Jana akihojiwa na vyombo vya habari Ismail Aden Rage ameiita ligi kuu ya Tanzania ni ligi ya mbuzi isiyo na lolote.
Kiongozi wa aina yake tena kiongozi mustaafu wa TFF haikuwa busara hata kidogo kuongea kauli kama ile ya ki fedhuri!
TFF watu kama hawa ndiwo wa kufungiwa hata miaka 100.
Kiongozi wa aina yake tena kiongozi mustaafu wa TFF haikuwa busara hata kidogo kuongea kauli kama ile ya ki fedhuri!
TFF watu kama hawa ndiwo wa kufungiwa hata miaka 100.