Addicted to "Bar Maids"


number ya barmaid?!!!!! what for? unampigia kumuuliza kama bia zimepoa au? SIJAWAHI KUWA NA NAMBA YA BAA MEDI!
Ungeniambia wahudumu wa hotel sawa, enzi za ujana wakati nachakarika nilikuwa na namba za wahudumu za kumwaga kila mji niliowahi kulala, zinasaidia sana kuweka booking!
 

OK. Zinasaidia sana kuweka booking...!
 
Bonga Bar ya Ilala miaka ile ya mwishoni 1990s.......balaa

Mkuu hapo umenikumbusha mbali kabisa. Walikuwa hawavai uniform. Utadhani mteja anakuja kujipendekeza kwako kumbe ndio barmaid. Yule mchaga alikuwa anajua kuwachagua ma barmaid. Nasikia alikuwa anazunguka Bar nyingi na kuwaleta pale waliokithi "TBS" fulani
 

Wateja wengi waliteketea pale!
 

Karibu Hisaje - Boko au Brazil Pub - Tegeta ::: TBS ipo juu sana:: Lakini rejea post ya Safari_ni_Safari hapo juu
Wateja wengi waliteketea pale!
 
Last edited by a moderator:
Siku nikimkuta na barmaid, ndoa I matatani, akyamama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…