GE2025 ADC: Tutaongeza kipato kwa wavuvi wa Zanzibar

GE2025 ADC: Tutaongeza kipato kwa wavuvi wa Zanzibar

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) kimezindua rasmi kampeni zake hii leo, ambapo mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia chama hicho, Hamad Rashid Mohamed, ameahidi kuimarisha mfumo wa uvuvi ili kuongeza kipato kwa wavuvi wa Zanzibar.

Amesema hayo katika uzinduzi wa kampeni za urais wa Zanzibar kwa upande wa Unguja, zilizofanyika katika viwanja vya Kibanda Maiti.

 
Back
Top Bottom