hasan124
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 716
- 128
- Thread starter
- #21
:bange:vyama vingine bwana....eti mlezi wao yuko ccm B alafu chama kinajiendesha na wavuta bange kadhaa kwa mda.......njaaa mbaya aiseee!!wamegombea ruzuku ccmB wameona waanzishe ADM ili watoto wao wapishane vyooni.....chezeya njaaa....maalimu seif hala yeye peke yake yahe....
hicho kikaragosi ulichokiweka na comment yako.....it's obviously wewe ndio mvuta hiyo kitu hapo nilipoBOLD.