sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,746
- 4,350
Habarini jamani ,
Baada ya salamu naomba nisiwachoshe wala tusichoshane na maneno mengi, natua moja kwa moja kwenye mada ,
Katika kusoma soma kwangu Biblia toka kwanzo hadi nilipoishia Mwenyezi Mungu aliumbwa Adamu na Hawa , Hivyo hivyo katika kupitia pitia Qur-an katika kipengele hicho hicho cha uumbaji wa Mungu , aliumba Adamu na Hawa,
Sasa nasikia wengine wakisema Mungu aliumba Adamu na Eva, huyu Eva ni yupi na mbona hata Biblia haijamtaja Adamu na Eva bali ni Adamu na Hawa, huyu Eva amekujaje labda?
Baada ya salamu naomba nisiwachoshe wala tusichoshane na maneno mengi, natua moja kwa moja kwenye mada ,
Katika kusoma soma kwangu Biblia toka kwanzo hadi nilipoishia Mwenyezi Mungu aliumbwa Adamu na Hawa , Hivyo hivyo katika kupitia pitia Qur-an katika kipengele hicho hicho cha uumbaji wa Mungu , aliumba Adamu na Hawa,
Sasa nasikia wengine wakisema Mungu aliumba Adamu na Eva, huyu Eva ni yupi na mbona hata Biblia haijamtaja Adamu na Eva bali ni Adamu na Hawa, huyu Eva amekujaje labda?