John abruzzi
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,461
- 3,482
Leo saa tatu usiku Adam Mchomvu atakuwa ndani ya Wasafi TV sijajua kunanini. Let wait and see.
Source: Wasafi TV Instagram page
Source: Wasafi TV Instagram page
Ngoja tusubiri.Ni kipindi cha Je ni kweli.?
Kumbe ni Da vinci, mimi Nikajua ni manziNi kipindi cha Je ni kweli.?
ShinyangaKahama
Shinyanga
Experience.Adamu jinga sana, badala ya ‘kufanyiwa’ kipindi likageuza kipindi chake!
Experience.
Hakuna cha experience, aliona miyeyusho wadau kitaa hawamjui... likasema ”mambo gani haya, hakuna cha surprise wala nini”... likaanza kuongoza kipindi cha yule dogo!



Hakuna cha experience, aliona miyeyusho wadau kitaa hawamjui... likasema ”mambo gani haya, hakuna cha surprise wala nini”... likaanza kuongoza kipindi cha yule dogo!







ahamie usafini apewe jina na kutambulika mtaani.mchomvu ana 2.5m followers kwenye IG,jina gani unataka umpe?ahamie usafini apewe jina na kutambulika mtaani.
mchomvu ana 2.5m followers kwenye IG,jina gani unataka umpe?