Mhe.Adama Malima kaka yangu mkubwa, WanaMara huwa hawana maneno mengi. Mimi nikwambie wiki hiii inayoisha leo 20/10 imekuwa Chungu sana kwa WanaMara. Matokeo ya Mtihani wa Darasa la Saba yametangazwa rasmi.
Mkoa wako wa Mara kwa mara ya Tatu mfululizo umekuwa wa 26 yaani umekuwa wa MWISHO KITAIFA kuanzia 2017, 2018 na sasa 2019. Kuna maswali meeengi sana kichwani, Je mmekuja kudidimiza Elimu, au na nyie ndio kazi kama ya yule RAS wa Morogoro kuhamishia Walimu wa kike Mjini.
Wakati mikoa kama Mtwara, Simiyu nk ikiingia kwenye Database ya Maafisa Elimu wanaofanya vizuri na kuwavuta kwenye Mikoa yao nyinyi hamueleweki Maofisini na wala hamuoni soni Mkoa wenu kuwa wa Mwisho. RC upo na RAS yupo wala hamuoni shida miaka mitatuuuuu!
Real mnatunyima Usingiziiii.
MKOA WA MARA HAUNA VILAZA, kama Mkuu wa Mkoa unabisha waulize watangulizi wako waliohakikisha Mkoa wa MARA UNAKUWA TANZANIA ONE KATIKA ELIMU;
Mrejee;
Mhe. NIMROD LUGOE
Mhe. JOSEPH BUTIKU
Mhe. Nsa Kaisi
Mhe. Stephen Wasira nk nk
Mnachofanya wewe na RAS wako kama mtaalamu hamuwatendei haki Watu wa Mara, kuna masuala ya Uongozi hayako vizuri.
Angalieni kwa jirani yenu SIMIYU Mhe.Mtaka kavuta kifaaa AFISA ELIMU MKOA sasa yupo TOP TEN kutokea nyie mlipo.
Nenda Mtwara waliokuwa Mkiani, Wamevuta Maafisa Elimu wa kazi toka Mbeya nk sasa wapo njema.
Mjitathmini sana kwa aibu mnazouletea Mkoa wenu, au kama ndiyo ajenda iloyowaleta kudidimiza Elimu imetosha sasa na inakera.
Kazi njema.
Mkoa wako wa Mara kwa mara ya Tatu mfululizo umekuwa wa 26 yaani umekuwa wa MWISHO KITAIFA kuanzia 2017, 2018 na sasa 2019. Kuna maswali meeengi sana kichwani, Je mmekuja kudidimiza Elimu, au na nyie ndio kazi kama ya yule RAS wa Morogoro kuhamishia Walimu wa kike Mjini.
Wakati mikoa kama Mtwara, Simiyu nk ikiingia kwenye Database ya Maafisa Elimu wanaofanya vizuri na kuwavuta kwenye Mikoa yao nyinyi hamueleweki Maofisini na wala hamuoni soni Mkoa wenu kuwa wa Mwisho. RC upo na RAS yupo wala hamuoni shida miaka mitatuuuuu!
Real mnatunyima Usingiziiii.
MKOA WA MARA HAUNA VILAZA, kama Mkuu wa Mkoa unabisha waulize watangulizi wako waliohakikisha Mkoa wa MARA UNAKUWA TANZANIA ONE KATIKA ELIMU;
Mrejee;
Mhe. NIMROD LUGOE
Mhe. JOSEPH BUTIKU
Mhe. Nsa Kaisi
Mhe. Stephen Wasira nk nk
Mnachofanya wewe na RAS wako kama mtaalamu hamuwatendei haki Watu wa Mara, kuna masuala ya Uongozi hayako vizuri.
Angalieni kwa jirani yenu SIMIYU Mhe.Mtaka kavuta kifaaa AFISA ELIMU MKOA sasa yupo TOP TEN kutokea nyie mlipo.
Nenda Mtwara waliokuwa Mkiani, Wamevuta Maafisa Elimu wa kazi toka Mbeya nk sasa wapo njema.
Mjitathmini sana kwa aibu mnazouletea Mkoa wenu, au kama ndiyo ajenda iloyowaleta kudidimiza Elimu imetosha sasa na inakera.
Kazi njema.