george greyson
Member
- Jan 17, 2014
- 9
- 1
Jaman ada za kusoma masters zimepanda sana katika vyuo vingi.mfano udsm kutoka mil 3 hadi mil 6.hii ndio big result now.
Degree moja haikutoshi???
Nataka nijiendeleze.ila kwa sas inabid nitulie kwanza nitafute nitasoma tu.
Unaenda kusoma masters unarudi mtaani kuja kutafuta ajira..iyo pesa ya kulipia masters si bora niwekeze kwenye biashara...degree moja inanitosha kabisa kwa maisha ya sasa unless otherwise nimeahidiwa ukurugenzi BOT...iyo ada ya masters naomba wapandishe ifike ata milioni 200
Kama haujapata ajira, sikushauri ata siku moja usome masters, utakuwa unapoteza pesa yako tu, watu wanasoma masters waongezewe mshahara au wapandishwe cheo, kama bado hujapata ajira nakushauri iyo pesa ya ada ungejiajili, kwani ata waliofanikiwa wengi hawana izo masters, anza biashara usipoteze pesa na mda wako.
kweli mshaurini biashara gan.Sasa Jamani si mumshauri akafanye biashara gani? Kama hamtaki akasome
Kama haujapata ajira, sikushauri ata siku moja usome masters, utakuwa unapoteza pesa yako tu, watu wanasoma masters waongezewe mshahara au wapandishwe cheo, kama bado hujapata ajira nakushauri iyo pesa ya ada ungejiajili, kwani ata waliofanikiwa wengi hawana izo masters, anza biashara usipoteze pesa na mda wako.
Hiyo mbona kidogo sana. By the way sijawah kuona mwanafunz wa masters akilalamika ada. Kama vp pga chin katafute kwanza ada.Jaman ada za kusoma masters zimepanda sana katika vyuo vingi.mfano udsm kutoka mil 3 hadi mil 6.hii ndio big result now.
kama haujapata ajira, sikushauri ata siku moja usome masters, utakuwa unapoteza pesa yako tu, watu wanasoma masters waongezewe mshahara au wapandishwe cheo, kama bado hujapata ajira nakushauri iyo pesa ya ada ungejiajili, kwani ata waliofanikiwa wengi hawana izo masters, anza biashara usipoteze pesa na mda wako.
Naunga mkono hoja. Ila ukishaseti hiyo biashara yako na kupata uhai, haraka chukua masters.Kama haujapata ajira, sikushauri ata siku moja usome masters, utakuwa unapoteza pesa yako tu, watu wanasoma masters waongezewe mshahara au wapandishwe cheo, kama bado hujapata ajira nakushauri iyo pesa ya ada ungejiajili, kwani ata waliofanikiwa wengi hawana izo masters, anza biashara usipoteze pesa na mda wako.
Unaenda kusoma masters unarudi mtaani kuja kutafuta ajira..iyo pesa ya kulipia masters si bora niwekeze kwenye biashara...degree moja inanitosha kabisa kwa maisha ya sasa unless otherwise nimeahidiwa ukurugenzi BOT...iyo ada ya masters naomba wapandishe ifike ata milioni 200
Sitoshangaa wewe ukiwa ni mmoja wa wanaolalamika kwamba waKenya wanachukua fursa za waTanzania kwenye soko la ajira.
jiulize kwanza degree uliyoipata imekusaidia nini??watu wengine siku hizi wanatafuta kazi weeeeeee wakiona hawapati wanakimbilia kusoma master eti kuvuta muda!huo ni ulimbukeni mkubwa sana.
kweli mshaurini biashara gan.