godwin gerald
Member
- Aug 5, 2017
- 19
- 10
Habari zenu wakuu. Naomba ushauri wenu. Mim nilichaguliwa kujiunga na chuo huko mwanza. University. Lakin nilipofika huko sikujihusisha na masuala ya chuo. Niliamua kukusanya fedha zote nilizopewa. Na sasa nina milion 2.3. Nataka kufanya ujasiriamali. Je ni mkoa gan naweza fuga na kulima