Kigilagilagatirumo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 503
- 734
Ndugu wana JamiiForums,
Wenzetu wameshachaguliwa kujiunga na mafunzo ya stashahada ya ualimu wa awali kwa ada ya sh 600000/=
Je? katika uhalisia wa kawaida kwa maisha ya Mtanzania wa chini, kuna haki yoyote kumgharamia gharama za meal and accomodation pamoja na ada laki sita unasomea ualimu wa vitoto, vidudu au chekechea?
WATOE BOOM WAACHE UJINGA.
Wenzetu wameshachaguliwa kujiunga na mafunzo ya stashahada ya ualimu wa awali kwa ada ya sh 600000/=
Je? katika uhalisia wa kawaida kwa maisha ya Mtanzania wa chini, kuna haki yoyote kumgharamia gharama za meal and accomodation pamoja na ada laki sita unasomea ualimu wa vitoto, vidudu au chekechea?
WATOE BOOM WAACHE UJINGA.
Wakuu serikali iliongeza ada vyuo vya ualimu maradufu kama ifuatavyo;cheti 300,000/=,stashahada masomo ya sanaa 400,000/=,stashada masomo ya sayansi 600,000/= source:mwanainchi july 28. Je stashahada ya awali watalipa sh ngapi?