Serikali iachane na suala LA ada elekezi ya SHULE binafsi cha msingi iimarishe SHULE zake ziwe na kiwango safi madawati,mabweni,chakula kizuri,maabara,maktaba zenye vitabu,walimu wapewe mishahara na haki zao stahiki bila vikwazo hakuna mzazi au mlezi aache bure ampeleke mtoto private?tuache siasa ktk elimu na division za ajabu ajabu.Jemedari JPM hili kwako jepesi acha private watambe SHULE za serikali zikiwa bora private wataisoma namba