USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
CHAMA cha siasa kinachojulikana kama ACT jana kilianza kazi rasmi ya kuvuruga mwenendo wa kisiasa ndani ya mji wa tarime imefahamika
Taarifa za kuaminika zilizotufikia zinaonesha kuwa jana wajumbe wasiojulikana nyadhifa zao waliotambulika kwa majina tu walionekana majira ya saa 11 jioni mpaka usiku wa manane wakipanga mikakati katika hotel moja (jina tunalo)wakiongozwa na mwenyekiti wao wa muda wa taifa
aliyeongozana na ndugu MSHUMBUSI (aliyekuwa katibu wa CHADEMA MWANZA) wengine walikuwa DAVID KATIKIRO (aliyekuwa mwenyekiti wa vijana mkoa wa mara (bavicha) aliyekula rushwa ya kuuza jimbo la musoma vijijini wengine waliofahamika kwa haraka ni mke wa marehemu CHACHA WANGWE ambaye anashiriki kumuandalia kijana wake nafasi ya kugombea pia aliyekuwa mwenyekiti wa CUF wilaya badae akahamia ADC mapema mwaka jana kabla hajaibukia ACT ( HUYU ANA SIFA YA KUWAHI KUWA NA KADI ZOTE ZA VYAMA ) maruufu kama THOMA FUNDI HALI ILIVYO KWA SASA;
kwa sasa taarifa zinasema wako kwenye hotel ya AMA iliyopo mjini wakigawa tsh 2000 kwa kila anayekubali kupokea kadi ya chama hicho tutaendelea kuwaJUZA zaidi mpango zaidi jambo la kipekee linaloshangaza wanatarime ni hii staili ya vikao vya usiku
2 ni hii staili ya chama kutumia fedha tena kubwa kiasi cha 2000 kupata mwanachama
3 nia aina ya wanachama ama viongozi kinaokusanya wenye sifa za kuchumia matumbo waliowahi ama kuhama hama bila ukomo ama wanaouza hata majimbo kwa sababu ya fedha
swali je hichi kitakuja kuwa chama cha kukomboa WATANZANIA? ama ni SACCOS ya CCM?
TUNAOMBA WALE MLIO NA UZOEFU WA KISIASA MTUSHAURI KAMA NI CHAMA CHA UKWELI AMA TUJIHADHARI?
Taarifa za kuaminika zilizotufikia zinaonesha kuwa jana wajumbe wasiojulikana nyadhifa zao waliotambulika kwa majina tu walionekana majira ya saa 11 jioni mpaka usiku wa manane wakipanga mikakati katika hotel moja (jina tunalo)wakiongozwa na mwenyekiti wao wa muda wa taifa
aliyeongozana na ndugu MSHUMBUSI (aliyekuwa katibu wa CHADEMA MWANZA) wengine walikuwa DAVID KATIKIRO (aliyekuwa mwenyekiti wa vijana mkoa wa mara (bavicha) aliyekula rushwa ya kuuza jimbo la musoma vijijini wengine waliofahamika kwa haraka ni mke wa marehemu CHACHA WANGWE ambaye anashiriki kumuandalia kijana wake nafasi ya kugombea pia aliyekuwa mwenyekiti wa CUF wilaya badae akahamia ADC mapema mwaka jana kabla hajaibukia ACT ( HUYU ANA SIFA YA KUWAHI KUWA NA KADI ZOTE ZA VYAMA ) maruufu kama THOMA FUNDI HALI ILIVYO KWA SASA;
kwa sasa taarifa zinasema wako kwenye hotel ya AMA iliyopo mjini wakigawa tsh 2000 kwa kila anayekubali kupokea kadi ya chama hicho tutaendelea kuwaJUZA zaidi mpango zaidi jambo la kipekee linaloshangaza wanatarime ni hii staili ya vikao vya usiku
2 ni hii staili ya chama kutumia fedha tena kubwa kiasi cha 2000 kupata mwanachama
3 nia aina ya wanachama ama viongozi kinaokusanya wenye sifa za kuchumia matumbo waliowahi ama kuhama hama bila ukomo ama wanaouza hata majimbo kwa sababu ya fedha
swali je hichi kitakuja kuwa chama cha kukomboa WATANZANIA? ama ni SACCOS ya CCM?
TUNAOMBA WALE MLIO NA UZOEFU WA KISIASA MTUSHAURI KAMA NI CHAMA CHA UKWELI AMA TUJIHADHARI?