Teeh teeh teeh...mkuu wangu unapasua mbavu hizi gongo bila kula ni hatari.
wewe ndiye unaweweseka mmetumia vyama 11 kuiua chadema vingine mliunda vikafa ndani ya siku 2 leo muiue chadema kwa chama cha wachumia tumbo?
mmefanikiwa geresha vijana wote wale walisombwa toka stend na viongozi wa CHADEMA na watawaumbuaKiukweli habari hizi ni upotoshaji wa makusudi unaoendeleza watanzania wazidi kuielewa chadema wamezoea kuishi kwa uongo,jana chama cha ACT TANZANIA Kilikuwa kinafanya zoezi la uhakiki wa wanachama wao wadhamini,je unawapa watu kadi na kuwapa 2000 inakuaje hapo?wakati zoezi la uhakiki wa wanachama wadhamini hawa kadi mara ya mwisho walijazia mwezi wa pili na form ya kisheria ya udhamini kutumwa kwa msajiri na kadi hiyo anabaki nayo mwanachama,kwahyo zoezi hilo ni mwanachama kuja na kadi yake mbele ya msajiri na msajiri kuhakiki je kadi namba na jina linaendana?je mwanachama huyo aliyedhamini ndio yeye?na ili chama kipya kipate usajiri kinaitaji watu 200 katika mikoa 10 ya Tanzania.Taarifa nikupe mkoa wa Mara wamefanikisha zoezi la usajiri kwa muda mchache kuliko sehem nyingine yeyote zoezi lilianza sa3 hadi saa7 likawa limeisha na likapitiliza lengo la wadhamini 200 na chama mapema kikabidhiwa ithibati kuwa zoezi la uhakiki wa Usajiri wa wadhamini wa chama cha ACT TANZANIA ni halali na kweli walikuwepo,Elewa humuwezi kuishi kwa uongo maisha yenu yote ila ukweli utadhihirika na mtazidi umbuka tu,uongo huo mdangany mtu asioenda shule au ile misukule ya chadema
Kweli kabisa.. Itakuwa hivyo CHADEMA ikiwa IKULU.Hiki chama kinaweza kuwa mbadala wa CDM kwenye UPINZANI.
ACT ndio kiboko ya chadema
ACT ni CHAMA CHA KIDINI.. kwa mujibu wa LIZABONI.
Kiukweli habari hizi ni upotoshaji wa makusudi unaoendeleza watanzania wazidi kuielewa chadema wamezoea kuishi kwa uongo,jana chama cha ACT TANZANIA Kilikuwa kinafanya zoezi la uhakiki wa wanachama wao wadhamini,je unawapa watu kadi na kuwapa 2000 inakuaje hapo?wakati zoezi la uhakiki wa wanachama wadhamini hawa kadi mara ya mwisho walijazia mwezi wa pili na form ya kisheria ya udhamini kutumwa kwa msajiri na kadi hiyo anabaki nayo mwanachama,kwahyo zoezi hilo ni mwanachama kuja na kadi yake mbele ya msajiri na msajiri kuhakiki je kadi namba na jina linaendana?je mwanachama huyo aliyedhamini ndio yeye?na ili chama kipya kipate usajiri kinaitaji watu 200 katika mikoa 10 ya Tanzania.Taarifa nikupe mkoa wa Mara wamefanikisha zoezi la usajiri kwa muda mchache kuliko sehem nyingine yeyote zoezi lilianza sa3 hadi saa7 likawa limeisha na likapitiliza lengo la wadhamini 200 na chama mapema kikabidhiwa ithibati kuwa zoezi la uhakiki wa Usajiri wa wadhamini wa chama cha ACT TANZANIA ni halali na kweli walikuwepo,Elewa humuwezi kuishi kwa uongo maisha yenu yote ila ukweli utadhihirika na mtazidi umbuka tu,uongo huo mdangany mtu asioenda shule au ile misukule ya chadema
jimbo la musoma vijijini liliuzwa na mbowe baada ya kupewa milioni 20 na mkono. Hiyo hela aliyopewa mbowe ndio hiyo aliyowakopesha chadema kwa riba kubwa,,, acha kujitoa akili we taahira
pro-ccm, pro-act, pro-nra, pro-cuf watu walewale.Hiki Chadema kimekuja kuifuta Chadema ukitaka kujua angalia pro-Chadema wanavyoweweseka.