ACT yaendelea kubomoa ngome za CHADEMA

ACT yaendelea kubomoa ngome za CHADEMA

PHILIPLULINDA

Senior Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
181
Reaction score
89
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda MABADILIKO.WANACHAMA HAO AMBAO WALIINGIAGA CHADEMA PINDI MIMI NIKIWA KIONGOZI WANAANZA KURUDI ACT WAZALENDO.
 
Eeeh...Gwajima kapona ndio mnataka kufufuka kwa kulazimisha?naona na Mwami kakimbili Eatv leo,Thread zenu humu hazina nafasi tena kaeni tu kimya"dhambi ya usaliti iwatafune
 
baada ya kushindwa? labda walibainini ACT mapeemaaaa
 
Hii misaliti bana, utafikiri chadema ni chama tawala tayari. Usaliti wenu unaendelea kujidhihirisha!
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

Do not worry! Wapuuzi wengi kama hao watajitokeza. Sio kitu cha maana!
 
Hebu mnisaidie mie Neutral enyi wenye ACT yenu

ACT imeanzishwa kwa dhumuni LA kupambana na CHADEMA tu? Siwasikii mkiongelea CUF, TLP, CCM wala vyama vinginevyo

Hebu msaada ili nipate benchmark sahihi kupima mafanikio yenu
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

Amakweli kuna watu na viatu,eti mwenyekiti wa kijiji kuamua kurudi act?
 
Hebu mnisaidie mie Neutral enyi wenye ACT yenu

ACT imeanzishwa kwa dhumuni LA kupambana na CHADEMA tu? Siwasikii mkiongelea CUF, TLP, CCM wala vyama vinginevyo

Hebu msaada ili nipate benchmark sahihi kupima mafanikio yenu

Mkuu mbona unauliza ndevu kwa osama?
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

Kumbe mwenyekiti karudi ACT chama chake cha zamani na hajawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA isipokuwa uwanachama wake ulikuwa ni wakugombea uwenyekiti wa kijiji.
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

Mungu awatangulie...
 
nimarufuku Mtu kutoka CCM kujiunga na ACT?....

nazidi kuamini ACT ni MIMBA YA CCM
 
chadema safari hii itasoma number hlf wanaita wenzao wasaliti wakati wasaliti wanajulikana vzr tu udini unawasumbua mtapiga miyao mpk mwisho wa dunia madaraka mtayasikia bombani
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.
Watu hovyo kama wewe mnazidi kuididimiza ACT. Sijaona chama makini cha upinzani kinajisifu kumbomoa mwenzake. Tumieni akili hata kidogo. Mtajikuta kaburi moja na TLP
 
ACT Tanzania yaendeleza wimbi la kubomoa ngome za chadema,hapa lushoto Mkoa wa tanga, hii ni baada ya alikuwa mgombea umwenyekiti wa kijiji cha kwembago kurudi act wazalendo. Nimwendelezo wa ACT kukubalika na kuhama ndani ya chadema na vyama visivyo na utetezi wa kweli kwa wananchi. Na pia matusi. Wanachama Zaid wsmechukua kadi na kuamua kurudi kwa wazalendo. Karibuni wananchi wote wapenda mabadiliko.

Sasa ikibomoa ngome ya Chadema inasaidia nini katika kukuza vyama vya upinzan Tanzania. Ni kichaa pekee atafurahi kuona upinzan ukibomolewa na makanjanja wa siasa.
 
Back
Top Bottom