ACT - Wazalendo yavuna wanachama lukuki Morogoro

ACT - Wazalendo yavuna wanachama lukuki Morogoro

Joined
May 8, 2013
Posts
9
Reaction score
2
Chama cha ACT - WAZALENDO leo kimevuna wanachama wapya takribani 83 katika kata mbili, ambazo ni Mafisa (52) na kata ya Mji mkuu (31), katika operesheni hiyo maalum ya kuhakikisha kata zote 29 za jimbo la morogoro mjini zinachukuliwa na chama cha ACT - WAZALENDO ni muendelezo wa mikakati ya kukirahisishia chama hiki kutwaa jimbo hili saa 7 mchana. operesheni hiyo inaongozwa na mwenyekiti wa jimbo la morogoro mjini, bi mariam (mama faraji), katibu uenezi wa jimbo, James Luanda na Afisa habari wa jimbo ACT - WAZALENDO, bwana Mohamed Likoko.

ACT WAZALENDO ..... TAIFA KWANZA LEO NA KESHO.
 
Kafungue kamusi ujifunze maana ya neno lukuki kisha urudi hapa tujadiliane, 83 unaiita lukuki kiongozi....please be serious.
 
Kafungue kamusi ujifunze maana ya neno lukuki kisha urudi hapa tujadiliane, 83 unaiita lukuki kiongozi....please be serious.

hao ni wale wanachama wa kupewa kadi bila kulipia yaani operation mtindo mbaya sana maana CCM Watazikusanya kwenye mkutano wa hadhara
 
Jana Tunduma kiongozi mkuu wa chama kavuna wanachama 2000 kasahau hata kwenda kuwapa card wanachama 800 na viongozi maarufu 80 waliojiunga na chama hicho kutoka CHADEMA mjini Vwawa.
 
Chama cha ACT - WAZALENDO leo kimevuna wanachama wapya takribani 83 katika kata mbili, ambazo ni Mafisa (52) na kata ya Mji mkuu (31), katika operesheni hiyo maalum ya kuhakikisha kata zote 29 za jimbo la morogoro mjini zinachukuliwa na chama cha ACT - WAZALENDO ni muendelezo wa mikakati ya kukirahisishia chama hiki kutwaa jimbo hili saa 7 mchana. operesheni hiyo inaongozwa na mwenyekiti wa jimbo la morogoro mjini, bi mariam (mama faraji), katibu uenezi wa jimbo, James Luanda na Afisa habari wa jimbo ACT - WAZALENDO, bwana Mohamed Likoko.

ACT WAZALENDO ..... TAIFA KWANZA LEO NA KESHO.

Lukuki?unajua maana ya lukuki?
 
Jana Tunduma kiongozi mkuu wa chama kavuna wanachama 2000 kasahau hata kwenda kuwapa card wanachama 800 na viongozi maarufu 80 waliojiunga na chama hicho kutoka CHADEMA mjini Vwawa.

Alikotaka kulusha ngumi ni wapi baada ya kupigwa maswali yaliyoenda shule?
 
hao ni wale wanachama wa kupewa kadi bila kulipia yaani operation mtindo mbaya sana maana CCM Watazikusanya kwenye mkutano wa hadhara

Kweli hawa jamaa wana weweseka eti act imepata wanachama lukuki
 
Chama cha ACT - WAZALENDO leo kimevuna wanachama wapya takribani 83 katika kata mbili, ambazo ni Mafisa (52) na kata ya Mji mkuu (31), katika operesheni hiyo maalum ya kuhakikisha kata zote 29 za jimbo la morogoro mjini zinachukuliwa na chama cha ACT - WAZALENDO ni muendelezo wa mikakati ya kukirahisishia chama hiki kutwaa jimbo hili saa 7 mchana. operesheni hiyo inaongozwa na mwenyekiti wa jimbo la morogoro mjini, bi mariam (mama faraji), katibu uenezi wa jimbo, James Luanda na Afisa habari wa jimbo ACT - WAZALENDO, bwana Mohamed Likoko.

ACT WAZALENDO ..... TAIFA KWANZA LEO NA KESHO.

Kajipange upya
 
Kafungue kamusi ujifunze maana ya neno lukuki kisha urudi hapa tujadiliane, 83 unaiita lukuki kiongozi....please be serious.

lukuki anamanisha uingi na 83 ipo katika uingi wa idadi
act imejipambanua zaidi kwa watu kwa mara ya kwanza kabisa kitakua chama cha mfano wa vyama vingine
 
Back
Top Bottom