Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,653
- 272,475
Hii ni baada ya leo chama hicho huko Zanzibar kuagiza kuitishwa vikao vya wanachama ili watafakari Kiburi cha Rais wa Zanzibar Hussein Mwinyi kuteua Mkurugenzi wa Uchaguzi mamluki, Aliyemsaidia kuiba kura 2020.
Mimi binafsi nilipinga ACT Wazalendo kujiunga SUK kwa vile nilijua kwamba haya yatatokea lakini nilipuuzwa.
Mimi binafsi nilipinga ACT Wazalendo kujiunga SUK kwa vile nilijua kwamba haya yatatokea lakini nilipuuzwa.