AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Chama cha kisaliti
Hahahaha...mleta uzii kapewa za uso....
Hoja ya msomi wa Tanzania bila hata kufanya utafitiHii imekaaje,Ccm kuipeleka ACT mahakamani tena!!.Ndo kusema hata baada ya matokeo ya uchaguzi wa oct.2015 Chadema inaweza kuipeleka C.U.F, NCCR au NLD mahakamani?.Mimi nijuavyo,ushindi wa ACT ni ushindi wa CCM.Period!
Kwahiyo chadema wameamua kuwashitaki ACT kwa malengo gani sasa.
Act wazalendo itazoa wabunge wote kigoma,kaeni chonjo tu muda ukifika
kwa hiyo hicho Ni chama cha kigoma?Act wazalendo itazoa wabunge wote kigoma,kaeni chonjo tu muda ukifika
Ndio uwaeleze kina wafuasi kuwa ACT ni chama si kikundi cha kinafulani wala hakisimami kwa udhamini wa ccm ni porojotu ila muda wataelewa TEAM WAZALENDOkumbe hata act wakishinda ccm hukimbilia mahakamani
Wewe unayakwako umesha fahamishwa lakini unahoji kitu kingine kipi! ndugu wacha chuki haifai ktk siasa za kileo, TEAM WAZALENDOUngetaja vyama vilivyoshiriki kwenye huo uchaguzi.Na ni nani aliyepinga hayo matokeo.
Mwandiga kunawabunge wangapi na mwandiga niwapi!thubutuuuuuuu...labda wabunge wote wa mwandiga
Mwandiga kunawabunge wangapi na mwandiga niwapi!
Mmmh.... Wasaliti mpo kazini...
Yaani act na ccm mnawalaghai watanzania kwa kujifanya mmeshitakiwa kumbe maigizo..... Baba na mwana?
Wewe unayakwako umesha fahamishwa lakini unahoji kitu kingine kipi! ndugu wacha chuki haifai ktk siasa za kileo, TEAM WAZALENDO