karama kaila
Senior Member
- Jan 30, 2015
- 122
- 60
Leo ni furaha na nderemo katika kijiji cha Lyabusinde ni ushindi mkubwa kwa wanyonge dhidi ya mafisadi.
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa Chama cha ACT-wazalendo leo kimeibuka na ushindi mkubwa dhidi ya kupinga mfumo unaomfanya Mtanzania kuwa masikini.
Baada ya ACT-Wazalendo kushinda nafasi ya Mwenyekiti wa kijiji cha Lyabusinde Mkoni Kigoma CCM wakakimbilia mahakamani na leo Hakimu kamaliza kesi kwa kuipa ACT-wazalendo haki yake waliyopewa na wanakijiji wa Lyabusinde katika boksi la kura.
Huu ni muendelezo wa ushindi wa wanyonge.
More to come.
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa Chama cha ACT-wazalendo leo kimeibuka na ushindi mkubwa dhidi ya kupinga mfumo unaomfanya Mtanzania kuwa masikini.
Baada ya ACT-Wazalendo kushinda nafasi ya Mwenyekiti wa kijiji cha Lyabusinde Mkoni Kigoma CCM wakakimbilia mahakamani na leo Hakimu kamaliza kesi kwa kuipa ACT-wazalendo haki yake waliyopewa na wanakijiji wa Lyabusinde katika boksi la kura.
Huu ni muendelezo wa ushindi wa wanyonge.
More to come.