Hahah kama nakuona povu linavyokutoka hapo ulipoHiki ndiyo chama pekee cha upinzani viongozi wake wanaakili acha ile mimbulula ya ufipa na buguruni
Kama kuna kaukweli hapaHawana hela za Kampeni wasituzingue
Hivi CHADEMA wanadhani CCM itawaachia jimbo la Kinondoni kiurahisirahisi tu?.
Kinondoni ndo jimbo lenye Pato kubwa kuliko jimbo lolote nchini.