ACT Wazalendo ni kama TANU

ACT Wazalendo ni kama TANU

Nenda kawadanganye wahuni wenzako huko ACT. ACT haina hadhi ya kuitwa chama, bali ni genge la wahuni, majizi, walaghai, matapeli na wasaliti. Hapa unapoteza muda wako tu mkuu
Mimi sijaelewa, ACT imeanzishwa mwaka 2015, TANU 1954, leo vinafanana? Kawadanganye mwandiga huko.
 
ACT ni chama pekee chenye dhamira ya dhati ya ukombozi. Tanzania ilipofikia Leo inahitaji chama chenye uthubutu wa ukombozi na sio uthubutu wa kusaka madaraka.

Mpaka sasa ACT inaamini katika kujitegemea zaidi ya kutegemea wahisani kama vilivyo vyama vikubwa vilivyotutangulia.
...
ACT inaamini katika uboreshaji wa uchumi wa ndani zaidi kama ilivyokua TANU kitu kisichoaminiwa na vyama vingine vya siasa Tanzania.

Kuelekea uchaguzi mkuu ni vyema tukalisoma vyema Azimio la Tabora ili tuujue muelekeo wa Tanzania yeti.

2015 ni mwaka wa maamuzi sahihi, ni mwaka wa mnyonge kuthaminiwa naye kujithqmini.

ACT kama TANU
Ndatama Mafuru


Join Date : 18th July 2015
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received 1
Likes Given 0
 
Duh!! sijui unajisikiaje uliyeweka thread hii kwani michango yoote inayotolewa humu inaonyesha wazi hiki ulichokiweka sio sahihi ni vema ungejikalia kimya tu kuliko jinsi unavyodhalilika hapa.

Duh!! nimesahau kumbe ndio umeanza kujifunza kupost thread?
Join Date : 18th July 2015
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received1
Likes Given0
 
Kadanye wahaya wenzio kigoma sio hapa! Mnamjua zitto au unapayuka tu? yeye hata kuwauza wenzie humo humo ndani hakawii! yeye anaangalia mshuko tu umekaaje. Kawaulize CDM alivyokuwa anauza taarifa kwa fedha.
 
siku xote mtoto ambaye haelewi haraka huleta shida sana nyumbani na kudhalauliwa sana kua hana thamani katika familia hiyo. ila siku akikua huwa na thamani kubwa hivyo basi hata act ameanza kwa kuthalauliwa sana na ipo siku tutakielewa na kukithamini sana na kusema kua tulikua tunakosea tulipo kisema vibaya " time will tell".
 
Kadanye wahaya wenzio kigoma sio hapa! Mnamjua zitto au unapayuka tu? yeye hata kuwauza wenzie humo humo ndani hakawii! yeye anaangalia mshuko tu umekaaje. Kawaulize CDM alivyokuwa anauza taarifa kwa fedha.
 
Mtu akim challenge Mungu wenu Mbowe anaitwa msaliti. Wengine kama Chacha Wangwe mnawaua

Kumbe una ushahidi walimuua CDM? get prepare kutoa ushahidi, wewe ni mtu muhimu sana kwani tulikuwa tunakosa ushahidi. Ila Zitto hapana ndugu ni msaliti haswaa hasa akiahidiwa pesa hata CCM wanajua hilo.
 
Kazi yetu ni moja tuu kiurudisha Tz kwenye misingi iliyo iasisi
 
Kumbe una ushahidi walimuua CDM? get prepare kutoa ushahidi, wewe ni mtu muhimu sana kwani tulikuwa tunakosa ushahidi. Ila Zitto hapana ndugu ni msaliti haswaa hasa akiahidiwa pesa hata CCM wanajua hilo.
Tatizo nini! tena mm naongezea mhusika ni ZUZU WENU MBOWE, akili zenu zakushikiliwa na Mtu ZERO asie semwa kama mungu tunajua nimungumtu wa vilaza wa cdm na si wote
 
Kwa hiyo Zitto ni sawa na Nyerere? Nafikiri aidha unavuta bange sana mchana au ulitoroka 'mirembe' kabla hujapona vzr au uwezo wako wa kuwaza au IQ yako =0.0001
 
No jukumu letu kuhakikisha kila mtanzania anafaidika vilivyo na maliasili tulizojariwa na mungu
 
Kwa hiyo Zitto ni sawa na Nyerere? Nafikiri aidha unavuta bange sana mchana au ulitoroka 'mirembe' kabla hujapona vzr au uwezo wako wa kuwaza au IQ yako =0.0001
Naona umetekeleza majukum uliyopewa na mungu wenu kutukana asili ya fuata upepo, umemtukana umetimiza wajibu, bangi tz inalimwa kwao na mungumtu wenu
 
Back
Top Bottom