ndatama
Member
- Jul 18, 2015
- 10
- 4
ACT ni chama pekee chenye dhamira ya dhati ya ukombozi. Tanzania ilipofikia Leo inahitaji chama chenye uthubutu wa ukombozi na sio uthubutu wa kusaka madaraka.
Mpaka sasa ACT inaamini katika kujitegemea zaidi ya kutegemea wahisani kama vilivyo vyama vikubwa vilivyotutangulia.
Tunaamini kutegemea wahisani ni utumwa Huru tunaodhani utatukomboa.
Chama kisichoridhika na ruzuku au kisichotumia ruzuku vyema kujiendesha ni dhahiri hata mapato ya serikali hayatokidhi mahitaji yao tukiwakabidhi serikali.
TANU iliendeshwa kwa michango ya watanganyika na Leo hii ACT inaendeshwa kwa michango ya wanachama wake na michango hiyo kutumika vyema.
ACT inaamini katika uboreshaji wa uchumi wa ndani zaidi kama ilivyokua TANU kitu kisichoaminiwa na vyama vingine vya siasa Tanzania.
Kuelekea uchaguzi mkuu ni vyema tukalisoma vyema Azimio la Tabora ili tuujue muelekeo wa Tanzania yeti.
2015 ni mwaka wa maamuzi sahihi, ni mwaka wa mnyonge kuthaminiwa naye kujithqmini.
ACT kama TANU
Ndatama Mafuru
Mpaka sasa ACT inaamini katika kujitegemea zaidi ya kutegemea wahisani kama vilivyo vyama vikubwa vilivyotutangulia.
Tunaamini kutegemea wahisani ni utumwa Huru tunaodhani utatukomboa.
Chama kisichoridhika na ruzuku au kisichotumia ruzuku vyema kujiendesha ni dhahiri hata mapato ya serikali hayatokidhi mahitaji yao tukiwakabidhi serikali.
TANU iliendeshwa kwa michango ya watanganyika na Leo hii ACT inaendeshwa kwa michango ya wanachama wake na michango hiyo kutumika vyema.
ACT inaamini katika uboreshaji wa uchumi wa ndani zaidi kama ilivyokua TANU kitu kisichoaminiwa na vyama vingine vya siasa Tanzania.
Kuelekea uchaguzi mkuu ni vyema tukalisoma vyema Azimio la Tabora ili tuujue muelekeo wa Tanzania yeti.
2015 ni mwaka wa maamuzi sahihi, ni mwaka wa mnyonge kuthaminiwa naye kujithqmini.
ACT kama TANU
Ndatama Mafuru