Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,643
- 19,609
Lissu alikuwa anafanya vizuri sana alipokuwa mwanaharakati, lakini baada ya kuingia kwenye siasa akayeyuka. Yeye alishindwa kutofautisha siasa na uanaharakati.Mtu anayeandika hivi ndio alitaka kuwa Rais wa Tanzania! Ndio maana Tundu Lissu anapuuzwa na kila mtu anayejielewa.