Kazi maalum
Member
- Apr 8, 2015
- 38
- 4
Tarehe tajwa hapo juu, kulikua na uchaguzi wa viongozi wa chama mtaa wa matangini na kata ya saranga uliofanyikia kwenye bar moja inaitwa Matungucha,
Wajumbe waliouzulia walikua 30, kwa bahat mbaya sana walishndwa kusimika uongozi wote ktk eneo hilo, walibahatika kumpata mwenyekiti wa kata ni mzee mmoja hivi alikua CUF kipindi hicho na Mwenyekiti wa baraza la wazee anaitwa Hussein nae katoka CUF, huyu Husseni aligombea ujumbe kupitia ukawa mtaa wa Matangini akashndwa.
Pia baada ya ajenda ya uchaguzi, kulikua na ajenda ya kuandaa propaganda dhidi ya cdm jimbo la ubungo, propaganda kubwa tatu.
1. Ni chama cha kidini na ukanda
2. Watazungumzia sana katiba ya CHADEMA
3. Tatizo la maji jimbo la ubungo na propaganda ya nne viongozi walikua wakiendesha kikao hicho wanaenda kuandaa propaganda afu watawatumia wajumbe walio huzulia huo uchaguzi maana waliondoka na number za simu za wajumber.
Cha kushangaza sana ajenda kuu zilikua ni dhidi ya cdm na sio chama chenye dora.
ACT jipangeni upya ubungo hamutaiweza kamwe.
Wajumbe waliouzulia walikua 30, kwa bahat mbaya sana walishndwa kusimika uongozi wote ktk eneo hilo, walibahatika kumpata mwenyekiti wa kata ni mzee mmoja hivi alikua CUF kipindi hicho na Mwenyekiti wa baraza la wazee anaitwa Hussein nae katoka CUF, huyu Husseni aligombea ujumbe kupitia ukawa mtaa wa Matangini akashndwa.
Pia baada ya ajenda ya uchaguzi, kulikua na ajenda ya kuandaa propaganda dhidi ya cdm jimbo la ubungo, propaganda kubwa tatu.
1. Ni chama cha kidini na ukanda
2. Watazungumzia sana katiba ya CHADEMA
3. Tatizo la maji jimbo la ubungo na propaganda ya nne viongozi walikua wakiendesha kikao hicho wanaenda kuandaa propaganda afu watawatumia wajumbe walio huzulia huo uchaguzi maana waliondoka na number za simu za wajumber.
Cha kushangaza sana ajenda kuu zilikua ni dhidi ya cdm na sio chama chenye dora.
ACT jipangeni upya ubungo hamutaiweza kamwe.