ACT wajiunge CCM wawe chama kimoja

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,176
Reaction score
48,460
Hivi vyama vinafanana Falsafa zake na husaidiana kupambana na CHADEMA na kwa kuwa ni vyama vya kijamaa, kwa nini chama kidogo cha kijamaa (ACT) kisijiunge na chama Kikubwa cha kijamaa (CCM) na kuwa sehemu ya chama hicho?

Nadhani itakuwa vyema na haki ACT ikajiunga CCM.
 
Ukifuatilia ACT tangu chaguzi za 2015, mwenendo wake kisiasa, utabaini ACT ni CCM-B
 
Kwani lini viliachana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…