Mpangawangu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 887
- 965
Watanzania wanakiu ya mabadiliko ya kweli.
Baada ya chama kinachojipambanua kusimama na wanyonge dhidi ya mabepari wanaotumia rasilimali za taifa bila usawa,chama kimeweka misingi,itikadi na falsafa vilivyowavutia wengi
Sasa chama kinakabiliwa na changamoto ya uhaba wa vifaa vya uenezi na kadi za wanachama.
Kwa wale viongozi wa chama cha wazalendo,tunaomba mtuletee kadi mikoani,mahitaji ni makubwa kuliko tulivyotegemea.
Leteni kadi,tukate kiu kwa kuandika historia ya chama kitakacho ifanya Tanzania kuwa taifa linaloheshimika Duniani.
Baada ya chama kinachojipambanua kusimama na wanyonge dhidi ya mabepari wanaotumia rasilimali za taifa bila usawa,chama kimeweka misingi,itikadi na falsafa vilivyowavutia wengi
Sasa chama kinakabiliwa na changamoto ya uhaba wa vifaa vya uenezi na kadi za wanachama.
Kwa wale viongozi wa chama cha wazalendo,tunaomba mtuletee kadi mikoani,mahitaji ni makubwa kuliko tulivyotegemea.
Leteni kadi,tukate kiu kwa kuandika historia ya chama kitakacho ifanya Tanzania kuwa taifa linaloheshimika Duniani.