LEO OJIJO MESSI
Member
- Jan 27, 2015
- 50
- 70
Jana 1/4/2015 baadhi ya wabunge CHADEMA waliohusishwa kujiunga na ACT waliikana tena kwa kusema kuwa waliowashutumu kujiunga ni wazandiki! Mh. John Paul Shibuda ALISEMA HAGOMBEI Ubunge maswa na ahami CDM , Mh.Halima Mdee alisema naipenda chadema zaidi ubunge na watu wanaojiita ACT wanajoin mitandao ya kijamii kwa jina lake na kumpakazia mambo ya hajabu hajabu, Lusinde anakwambia ZZK alikosea sana kukimbia CDM angebanana tuu.
Team Lowasa imewaonya wasiwasogelee maana itawaaribia sana maana ACT hata viongozi wa Dini hawaipendi na hawataki hata kukisikia.
Team Lowasa imewaonya wasiwasogelee maana itawaaribia sana maana ACT hata viongozi wa Dini hawaipendi na hawataki hata kukisikia.