ACT-Tanzania kutoshiriki uchaguzi serikali za mitaa

Malata Junior

JF-Expert Member
Nov 29, 2011
3,102
2,540
Wakati leo ni siku ya mwisho kwa wagombea kurejesha fomu,hakuna mwanchama yeyote wa ACT aliyejitokeza! hii ni aibu sana.
 
kwa vile wewe ni mhongo' mumbea'mpenda mjungu
.napenda kukwambia kuwa kila wilaya.kila mkoa.kila mtaa tuna wagombea na wamerudisha FORMU zao jana.tusubili uchaguzi 14/12/2014
 
Hii ni udhibitisho kwamba hiki chama kimeanzishwa kuivuruga cdm na wala si kutwaa dola!
 
kwa vile wewe ni mhongo' mumbea'mpenda mjungu
.napenda kukwambia kuwa kila wilaya.kila mkoa.kila mtaa tuna wagombea na wamerudisha FORMU zao jana.tusubili uchaguzi 14/12/2014
i

Wewe unajua unachokiandika hicho.Ni wapi au ni kijiji,kitongoji/mtaa gani ACT mlipoweka mgombea????.
 
ACT NI CCM B kama CCM wamekuja kuchukua fomu ndo hao hao ACT
 
mumuogope mungu au ni dunia inaisha nani kakuambia ACT ni ccm au unaumwa

ACT ni ccm b kuazia kuundwa kuanzishwa kulipiwa ada mbalimbali na hata gharama za kujiendesha hili halina ubishi wala vitisho vya MWOGOPE MUNGU, Mungu hapaswi kujumuishwa hapa tunaishi kwenye dunia ambayo neno SIRI halina maana tena
 
Samahani ndugu ivi ww ni mutu ya wapi DRC ,RWANDA au BURUNDI?Nijibu please!!
 
Chama hakina hata katiba wala viongozi wa kitaifa kitafanyaje uchaguzi! anayebisha anitajie katibu mkuu wa hiyo ACT ni nani?
 
kwa vile wewe ni mhongo' mumbea'mpenda mjungu
.napenda kukwambia kuwa kila wilaya.kila mkoa.kila mtaa tuna wagombea na wamerudisha FORMU zao jana.tusubili uchaguzi 14/12/2014
wewe ndio muongo, mbona hapa mtaani kwetu katika kijiji cha Lingusenguse hakuna mgombea wa ACT!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…