ACT Tanga hatumtambui Limbu

ACT Tanga hatumtambui Limbu

PHILIPLULINDA

Senior Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
181
Reaction score
89
Uongozi Mpya uliochaguliwa Kihalali unasema kwamba HATUMTAMBUI limbs na wala asijisumbuekwa Lolote ndani ya Katiba ya ACT TANZANIA. tamko hilo limetolewa na viongozi wa Majimbo Ya lushoto, TANGA, na Majimbo yote ya Mkoa, Tunatambua limbs sio mwa chama wa ACT TANZANIA.
 
Tanga ipi hiyo❕❕❓❓
 
Uongozi Mpya uliochaguliwa Kihalali unasema kwamba HATUMTAMBUI limbs na wala asijisumbuekwa Lolote ndani ya Katiba ya ACT TANZANIA. tamko hilo limetolewa na viongozi wa Majimbo Ya lushoto, TANGA, na Majimbo yote ya Mkoa, Tunatambua limbs sio mwa chama wa ACT TANZANIA.

Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kimenuka
 
Eti tanga hamtabui limbu!limbu ndio mwenyekiti halali wa act sasa hamtambui kwa vipi?
Mnataka kuleta ile mikakati yenu ya chadema kwenye chama chetu cha act tuachieni chama chetu
 
Uongozi Mpya uliochaguliwa Kihalali unasema kwamba HATUMTAMBUI limbs na wala asijisumbuekwa Lolote ndani ya Katiba ya ACT TANZANIA. tamko hilo limetolewa na viongozi wa Majimbo Ya lushoto, TANGA, na Majimbo yote ya Mkoa, Tunatambua limbs sio mwa chama wa ACT TANZANIA.

ACT Kigoma tunamtambua Limbu kama Mwenyekiti bora,jasiri na Makini wa Chama chetu cha Kizalendo,ACT,go Limbu go
 
Limbu---Limbukeni
Kabwe---Kabwela
Kuna nini hapo?
 
Uongozi Mpya uliochaguliwa Kihalali unasema kwamba HATUMTAMBUI limbs na wala asijisumbuekwa Lolote ndani ya Katiba ya ACT TANZANIA. tamko hilo limetolewa na viongozi wa Majimbo Ya lushoto, TANGA, na Majimbo yote ya Mkoa, Tunatambua limbs sio mwa chama wa ACT TANZANIA.

Tanga hakuna ACT. Labda ACT ya magumashi
 
Mm niko tabora ni mwana act mtiifu kwa chama changu ss tunamtambua limbu ndio mwenyeti wetu
 
Limbuuuuuuuuuuuuuu
Limbuuuuuuuuuuu
M
wenyekitiiiiiiiiii
Mwenyekitiiiiiiiiiiiii
 
Uongozi Mpya uliochaguliwa Kihalali unasema kwamba HATUMTAMBUI limbs na wala asijisumbuekwa Lolote ndani ya Katiba ya ACT TANZANIA. tamko hilo limetolewa na viongozi wa Majimbo Ya lushoto, TANGA, na Majimbo yote ya Mkoa, Tunatambua limbs sio mwa chama wa ACT TANZANIA.

CDM Kazini
 
Uongozi Mpya uliochaguliwa Kihalali unasema kwamba HATUMTAMBUI limbs na wala asijisumbuekwa Lolote ndani ya Katiba ya ACT TANZANIA. tamko hilo limetolewa na viongozi wa Majimbo Ya lushoto, TANGA, na Majimbo yote ya Mkoa, Tunatambua limbs sio mwa chama wa ACT TANZANIA.
ACT Mwanza wanamtambua Limbu na wameapa hawatakubali aenguliwe kwenye chama alichokiasisi.
 
Back
Top Bottom