ACT presha ya nini!

hawezi kujitoa nje ya CDM hawa kupe..hawawezi simama peke yao.Eti sasa wanwaiata wachaga ....a wana CDM.Wameanza kwa au kabila kama walivyojitoa CDM..watazimika vibaya kuliko CUF..
 
hawezi kujitoa nje ya CDM hawa kupe..hawawezi simama peke yao.Eti sasa wanwaiata wachaga ....a wana CDM.Wameanza kwa au kabila kama walivyojitoa CDM..watazimika vibaya kuliko CUF..

we jamaa huwa sikuelewagi..hivi unaandikaga kichaga au kikibosho? yani wewe ni bogus sana .kama chadema ndio inawategemea viazi kama wewe basi ni hasara
 

Ahsante Baba....Busara tupu hizi..
 

ACT (Alliance for Coward Traitors).........Hakina tofauti na CCJ.......Nakipa miezi sita ya ku-survive.....

Malengo ya hiki chama cha kihuni tumeshayajua....
 
ACT (Alliance for Coward Traitors).........Hakina tofauti na CCJ.......Nakipa miezi sita ya ku-survive.....

Malengo ya hiki chama cha kihuni tumeshayajua....

act{alliance for change and transparency} malengo yake ni kumkomboa mtanzania
 
kawaida haki haichangamani na batili,hivyo kwa kadiri haki inavyochipua:ndivyo batili nayo inazidi kuchepuka! tatizo tunasahau Mwisho wa ubaya aibu, na ni bora lawama kuliko fedheha!

Haq bin haq au haki bin batli.
 
hayo makubaliano yalifanyika wapi.? acha uongo kwanza zito hausiki kabisa na ACT . act ni chama huru hakina uhusiano na chama chochote kile

Hata Mh. Sitta alipoanzisha CCJ alisema hausiki....Masikini ya Mungu kumbe alikuwa anasoma upepo utakapoelekea....

Kuona upepo ni kimbunga akaamua kukitosa chama....

ACT= CCJ

ACT....(Alliance for Coward Traitors)
 
Hata Mh. Sitta alipoanzisha CCJ alisema hausiki....Masikini ya Mungu kumbe alikuwa anasoma upepo utakapoelekea....

Kuona upepo ni kimbunga akaamua kukitosa chama....

ACT= CCJ

ACT....(Alliance for Coward Traitors)

unatapatapa tu..act ndio habari ya mujini
 
we jamaa huwa sikuelewagi..hivi unaandikaga kichaga au kikibosho? yani wewe ni bogus sana .kama chadema ndio inawategemea viazi kama wewe basi ni hasara

Kilaza wa mwisho kama wewe huwezi kumulewa..
ACT....(Alliance for Coward Traitors)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…