chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
Yule msariti wa Lindi somebody Chitanda aliasi kisa zzk leo yuko ccm , implication ni kwamba njia yao ni mojaKama NCCR ambayo imepoteza mwelekeo mpaka Leo ina wabunge na madiwani japo wachache Je itakuwa cdm ambayo kila kona ya nchi ina mashabiki. Na zaidi ni chama kikuu cha Upinzani. Wasaliti wanahama wenyewe wanarudi CCM bila ya wanachama. Sasa ACT itapata wapi wanachama? Mbona wakitoka cdm wanaenda CCM?
Mkuu,
Nimekuwa nikisoma mada nyingi sana katika ukumbi huu ambazo umezianzisha!
Naomba nikiri kuwa,Kati ya wachangiaji wote wa JF ,nafikiri wewe utakuwa na akili ndogo kuliko wote!!!?
Nafikiri ujazo wa akili yako haujai ujazo wa KISODA!
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na
kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule
wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala
kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili
vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
Mkuu,
Nimekuwa nikisoma mada nyingi sana katika ukumbi huu ambazo umezianzisha!
Naomba nikiri kuwa,Kati ya wachangiaji wote wa JF ,nafikiri wewe utakuwa na akili ndogo kuliko wote!!!?
Nafikiri ujazo wa akili yako haujai ujazo wa KISODA!
Umeandika tofauti rekebisha ilingane na maelezo yako!mkuu. vijana ambao hawajajiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ni mashabiki sana wa chama makini ACT
Eti mbadala wa Chadema kwa hiyo nyie lengo kuu ni kuwa mbada wa chama cha upinzani badala ya kinacho ongoza nchi idiot! Mmeshindwa kabla ya kuanza mbulula nyie
Hay Yangu macho
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.
Nini msimamo wa chama chenu kuhusu Ushoga?
Wakuu,
Baada ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kupoteza uelekeo na kusambaratika, hatimae chama mbadala wa CHADEMA kimepatikana.
Chama hiki makini na mkombozi wa watanzania ni ACT.
ACT ni chama makini sana na viongozi wake ni wasomi hawajakimbia shule wala kupata division zero kwenye mitihani yao,
Sera kuu ya ACT ni maendeleo kwa vijana wote wa tanzania.
ACT ni chama cha watanzania wote hakina ubaguzi wa kidini, kikabila wala kikanda kama vyama vingine
Naomba serikali iboreshe daftari la kudumu la mpiga kura haraka ili vijana wajiunge na chama chao makini wanachokipenda cha ACT.
Naomba kuwakilisha hoja.