MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,580
- 30,034
Maisha,Ukawa hawawezi kuungana na ACT wanajishumbua tu,intelejisia ilishakamilika zitto na chama chake ni ccm B
Bahati mbaya afya ya zitto inaendelea kudorora baada ya kuona mpango unazama
Asipoangalia huyu kijana ataishi maisha mafupi sana sababu ya mawazo.
Hayo maneno unauhakika nayo? pengine mtu anaweza kuikubari sheria inayo pingwa na wana mitandao kwa mambo kama haya