MashaJF
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 246
- 119
Nimetembelea tovuti ya NECTA (The National Examinations Council of Tanzania) na kukutana na ratiba ya mtihani wa kidato cha sita mwakani (angalia link hapo chini)
Poleni sana vijana najua mlikuwa mmeweka nguvu mmalize mwezi wa pili (Feb 2013).
Naomba tujadili ili la wanafunzi watakavyo chaguliwa kujiunga na vyuo vikuu (linahusu TCU) na matokeo ya mikopo (HSLEB), manake naona muda utakuwa mfupi sana baada ya NECTA kutoa matokeo na tarehe za kufungua vyuo!!!! Pima kwa mwaka huu wanafunzi wa A'Level walifanya mtihani mwezi wa pili na tumeshudia selection za vyuo zilivyo chelewa!!!!
http://www.necta.go.tz//matangazo/TIMETABLEFORMSIX2013w.pdf
Poleni sana vijana najua mlikuwa mmeweka nguvu mmalize mwezi wa pili (Feb 2013).
Naomba tujadili ili la wanafunzi watakavyo chaguliwa kujiunga na vyuo vikuu (linahusu TCU) na matokeo ya mikopo (HSLEB), manake naona muda utakuwa mfupi sana baada ya NECTA kutoa matokeo na tarehe za kufungua vyuo!!!! Pima kwa mwaka huu wanafunzi wa A'Level walifanya mtihani mwezi wa pili na tumeshudia selection za vyuo zilivyo chelewa!!!!
http://www.necta.go.tz//matangazo/TIMETABLEFORMSIX2013w.pdf