ACP Hemed Msangi...

mkuu umeangalia hiyo picture vizuri? Au hauna macho nn mkuu? Wengi hawana hata muhudumu mmoja wa kuwaangalia tena wamelala chini

huyo mwingine full ma ac wauguzi kaa mia

lkn ujue yamemkuta hayo kwa ajili ya kutetea hali bora kwa wagonjwa wote.ila kwa kuwa pinda hataki maisha bora kwa wagonjwa ndio maana wakaamua kumnyamazisha dr uli
 
kwenye hizi nyuzi za kuhusu dr ulimboka, kwa siku nzima ya leo sijawaona members mashuhuri wafuatao:
Topical
rejao,
annael, na
ritz. Sijui nini kimewasibu, namuona zomba tu akijaribu kujitutumua. Sijui wamekumbwa na nini.

hawajapata mgao
 
Picha yake itampoza. Kuna watu wana hasira sana tokana na yaliuomkuta Ulimboka. Watu wanaweza kumtafuta hadi nyumbani na kumfanya kitu mbaya yeye na familia yake.
 
Somo la kiswahili bila shaka mlikuwa mnapishan na mwalimu mlangoni. Yeye anaingia kufundisha wewe unatoka kwenda kula ubuyu.
Mtu unaandika na kuchanganya mambo kama kuku anaparua kujitafutia riziki??


Uandishi huu???Ingekuwa ni upishi hizi zingekuwa kande zenye mchanganyiko wa mahindi maharage mchele na mchicha siju ni kande za kabila gani hizo??
 
Hembu tuwekeeni Picha za hawa watu, ili tukikutana nao mitaani Ama Zao Ama Zetu..



 
Unajua Mwema alikuwa RCO kwa muda kabla ya kupandishwa na later kuukwaa kutokana na ushemegi. Huyu ni mmoja wa watu wake wa karibu, na kama akina Nyombi, Adungulile au whatever yule alikuwa arusha ni ma-Zombe wazuri sana ! Hawa ni mabingwa wa kufanya kazi maalum, na wakati mwingine kwa maagizo maalum ! Nyombi si ndiyo alichora dili ya kwanza ya kumuondoa Mwakyembe pale ifunda...

Washenzy sana hawa na ni kweli kuna maagizo mengine na kazi maalum zinakwenda kwa balagashia kupasiana !!!


Msangi namfahamu alikuwa kituo cha Polisi Usa River arusha then akahamishiwa Morogoro na baadaye Dar. Kama huyu bwana ameingia katika hayo mambo ya uuaji atakuwa amechemka sana .
 
Wakuu kama vipi mwageni details zake na family yake na anapoishi kila mtu afahamu.......
 
Hivi kuna mdau humu mwenye picha ya huyu muuaji ACP Msangi? Naombeni mnisaidie nilifahamu hili liuaji. Yaani Tanzania ndio imefikia hivi? Hawa wapuuzi sijui wataondoka lini madarakani, ndugu zetu wapate kupumua
 
 
ACP Msangi akiwa mkuu wa USA alisimamia zoezi la kuondoa uhai watuhumiwa wanne wa ujambazi waliokamatwa na polisi wakiwa hai ikamlazimisha RPC Ntobi kuhamishiwa mkoa wa Mara.

Na waliwauwa wale vijana simply because walikuwa watoto wa matajiri, na baada ya kuuwa wale wawindaji haramu 2010 na Yule mzee mwingine torture chamber alisimamishwa kazi... Kituo CHA USA River usipime wana watesaji sio mchezo pale sitapasahau hata siku moja... Dah ujana huu!
 
Alichofanyiwa Dr. Ulimboka ni unyama na udhalimu mkubwa na kamwe sikiungi mkono. Tatizo langu linabaki kutokubaliana na huu mgomo wa madaktari, na sasa umehamia kwa madaktari bingwa.
Madaktari tafadhali tafuteni njia nyingine ya kudai haki yenu, hii ya mgomo mnatuumiza sisi walalahoi.
Sasa mnatushawishi tumchangie Ulimboka akatibiwe India wakati kuna wagonjwa mahututi kibao mahospitalini, hao tunawasaidiaje?
 

Nani kakuomba uchangie? Walioombwa kuchangia walishachanga.
 

Mwanahaki! Hili tatizo sio la kibe peke yake watu wengi wanadanganywa na serikali kuwa madaktari wanadai nyongeza ya mishahara wakati wanadai mazingira mazuri ya kufanyia kazi na vifaa, karibu hospitali zote nchini za serikali zina mazingira duni ya kufanyia kazi vitendea kazi hakuna, madaktari wamechoka serikali haiwajali wananchi wake mfano mzuri tu ile ajali ya jana Tanga wale wamama waliopata ajali y pikipiki wamepelekwa Bombo wamekosa huduma ya x-ray hospital ya Bombo haiana huduma ya x-ray kwa muda mrefu sasa nakipimo cha CT-SCAN hawana WATANZANIA WAJIULIZE NI WANANCHI WANGAI WANAUWEZO WAKWENDA PRIVATE HOSPITAL KUPATA VIPIMO VYA CT-SCAN NA X-RAY.

Ni hospitali ngapi za serikali zina mashine ya ultra sound hivi ni baadhi tu bado madawa kuna kipindi hata panadol unaambiwa ukanunue hospital haina dawa hapo tunamlaumu daktari kwa kutoa huduma chini ya kiwango sababu ya mshahara wake ama sababu ya vitendea kazi.

mama mjamzito anaambiwa asienda na vifaa vya kujifungulia atapatiwa hospitalini lakini akifika unapewa robo ya vifaa vingine hakuna hata kipini cha kubania kitovu cha mtoto cha sh.1000/ hospitali hawana wanakuambia vimekwisha. Je nani alaumiwe??

Kitanda kimoja mnaweza kulazwa hadi watu wa 3 badi chini wengine wanatandika mashuka wanalala vigodoro havitoshi, halafu tunawalaaumu madaktrai, huduma za jamii kwa wagonjwa walio lazwa zina tisha, mabafu hayafai kwa matumizi ya binadamu vyoo ndio balaa, maji ya kuoga hadi ndugu wakuletee kama huna ndugu imekula kwako.

NARUDIA TENA NA TENA SERIKALI IACHE KUPOTOSHA WANANCHI KUHUSU SUALA LA MGOMO WA MADAKTARI ISEME UKWELI!!

 
Msangi namfahamu alikuwa kituo cha Polisi Usa River arusha then akahamishiwa Morogoro na baadaye Dar. Kama huyu bwana ameingia katika hayo mambo ya uuaji atakuwa amechemka sana .

Je hakuwahi kufanya kazi Kilimanjaro as RCO, before Morogoro?
 
Napata Picha ya kumbuka mauhaji wa Vijana wa Madini kutoka mkoani Morogoro yalifanyika Katika msitu wa Mabwe Pande. Je kijana ambaye alifyatua risasi (Refers Judgement pale Mahakama kuu) hajapatikana hadi leo yawezekana pia alikuwa ni mtoto wa Kigogo pia. The way he is being groomed (ACP), is wrong way Wadau tufahamishane
 
jaMANI HIVI HUYU ACP MSANGI ANAKAA WAPI INGEKUWA NI VYEMA TUKAFAHAMU ILI AWEZE KUPATIWA ULINZI SHIRIKISHI MZURI
ANA WATOTO WANGAPI
ANA WAKE WANGAPI
NA NDUGU ZAKE PIA JAMANI
TUNAOMBA KUFAHAMISHANA
ULINZI SHIRIKISHI NI MUHIMU
SANA APATIWE.........

WENYE HIZI HABAARI FUNGUKENI BASI
 
Alifanya kazi arusha na kilimanjaro,anasifika kwa kuu,ndio profession yake hiyo hakuna analojua lingine
 
Wakuu tuwekeeni picha ya ACP Msangi tumjue,kumbe nae ni kama saba sita aliekuwa arusha akahamishiwa Morogoro na sasa nadhani yuko Dar,na huenda nae alihusika kumtendea unyama Dr ulimboka,kwa wale wanaomjua Saba sita watakubaliana na mimi,maana huyo nae ni mmoja ya wauaji wakubwa ndani ya jeshi la polisi.

Kwa kuwa sina uhakika sana kwamba alipotoka Morogoro alihamishiwa wapi basi kama kuna mtu anajua alipohamishiwa basi mtujuze,ila kama yuko hapa basi mjue alishiriki,huyo ni hatari sana,

na kuna mwingine Said yuko central anaishi karibu na mnazi bar pale uwanja wa taifa ni bonge mfupi hivi,huyo nae ni hatari,Dr Deo tupe walau maumbo ya watu waliomteka Ulimboka maana wakati anachukuliwa ulikuwepo,itasaidia kuwatambua,maana kama huyo saba sita ndio kazi yake nae ni mrefu pande la mtu na ni randi yake ni maji ya kunde.mara nyingi sana huwa anavaa kaptula.
Tusaidiane kuwabaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…