Kevoo_keroo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 771
- 163
✳SHIDA NI MZEE WA MAIGIZO NA SIO CHADEMA✳
Wafuasi wa chadema asilia toka 2010 Chadema ilipopata heshima ndani ya nchi kwa kujizolea umaarufu kuwa chama kikuu cha upinzani, wafuasi asili kutoka mikoa yote Tanzania bara wamejitokeza na kukihama chama hicho na wengine wanasema hawatahama chama Chao kwasababu wametoka nacho mbali ila watamuonyesha Mbowe uthamani wao kwa kutokipigia kura chama hicho kwasababu mgombea aliyesimamishwa na chama hicho hawamtaki kwakua ni fisadi na hana usafi wowote, hana nia ya kuwakomboa wananchi bali anania ya kujinufaisha ye ye na wanaomzunguuka mafisadi wenzie.
Wanachama hao wamesema wanaoishabikia chadema kwa sasa sio vijana wa wa Chadema wamiaka yote bali ni 4u movement waliokuja na mzee wao .
Wanasema "NI BORA WAMCHAGUE JEMBE MAGUFULI KULIKO MZEE WA GWAJIMA"wanasema wanachama hao watajipanga kwa uchaguzi wa 2025 na sio huu ambao chama Chao kimeonyesha kila dalili za kununuliwa na mtu mmoja na kundi lake.
Hapa swali lakujiuliza ndugu nikwanini huyu MZEE havai sare yetu ya Chama? hii nidharau kubwa sana na hakuna wakuuliza hii jeuri kaitoa wapi?
Tunawasiwasi chama chetu kimeuzwa japo hatuna uhakika ila dalili zinaonyesha kimeuzwa.
WANACHAMA HAO WANATOA RAI KWA MAKUNDI MENGINE KTK CHAMA KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA NA KUKATAA KUBULUZWA NA MAFISADI.
WANAMPONGEZA DR MAGUFULI KWA AJENDA ZAKE ZA KUKOMESHA UFISADI NA KUTENGENEZA AJIRA KWA VIJANA.
HAPA NI KAZI TU.
Wafuasi wa chadema asilia toka 2010 Chadema ilipopata heshima ndani ya nchi kwa kujizolea umaarufu kuwa chama kikuu cha upinzani, wafuasi asili kutoka mikoa yote Tanzania bara wamejitokeza na kukihama chama hicho na wengine wanasema hawatahama chama Chao kwasababu wametoka nacho mbali ila watamuonyesha Mbowe uthamani wao kwa kutokipigia kura chama hicho kwasababu mgombea aliyesimamishwa na chama hicho hawamtaki kwakua ni fisadi na hana usafi wowote, hana nia ya kuwakomboa wananchi bali anania ya kujinufaisha ye ye na wanaomzunguuka mafisadi wenzie.
Wanachama hao wamesema wanaoishabikia chadema kwa sasa sio vijana wa wa Chadema wamiaka yote bali ni 4u movement waliokuja na mzee wao .
Wanasema "NI BORA WAMCHAGUE JEMBE MAGUFULI KULIKO MZEE WA GWAJIMA"wanasema wanachama hao watajipanga kwa uchaguzi wa 2025 na sio huu ambao chama Chao kimeonyesha kila dalili za kununuliwa na mtu mmoja na kundi lake.
Hapa swali lakujiuliza ndugu nikwanini huyu MZEE havai sare yetu ya Chama? hii nidharau kubwa sana na hakuna wakuuliza hii jeuri kaitoa wapi?
Tunawasiwasi chama chetu kimeuzwa japo hatuna uhakika ila dalili zinaonyesha kimeuzwa.
WANACHAMA HAO WANATOA RAI KWA MAKUNDI MENGINE KTK CHAMA KUCHUKUA HATUA ZA HARAKA NA KUKATAA KUBULUZWA NA MAFISADI.
WANAMPONGEZA DR MAGUFULI KWA AJENDA ZAKE ZA KUKOMESHA UFISADI NA KUTENGENEZA AJIRA KWA VIJANA.
HAPA NI KAZI TU.