Acheni ngono zembe

Hold on....!!
Unazungumzia wanaume wa sayari gani? Wenye hizo nguvu za kugegedana hivyo?[emoji23][emoji23]acha utani wewe?
Hata kama ni mfano Fanya kutoa mifano yenye uhalisia kidogo basi.

The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
kuna wakati unakuwa na huo uwezo, then jinsi umri unavyosonga na huo uwezo unapungua..! But enzi zangu kugegeda masichana wanne kwa siku, wote goli 2 ,, ilikuwa kawaida.. enzi za form five na Six
 
Njoo ujionee hapa kwa jirani utashangaa seriously matani nope kwa sasa naongea ukweli.
Mi mwenyewe nimeshangaa halafu ni mjeda yeye huwaga ananisuprise kwa hao wanawake anawapataje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna wakati unakuwa na huo uwezo, then jinsi umri unavyosonga na huo uwezo unapungua..! But enzi zangu kugegeda masichana wanne kwa siku, wote goli 2 ,, ilikuwa kawaida.. enzi za form five na Six


Sasa hivi vipi?
 

Ina maana nawe unakuwepo kushuhudia hayo matukio au ndio tobo la mlango??
Maana hakika ya hayo matendo kuwa kila aloingia katumika we waipataje? Unless we ni director wa hiyo filamu
 
Ina maana nawe unakuwepo kushuhudia hayo matukio au ndio tobo la mlango??
Maana hakika ya hayo matendo kuwa kila aloingia katumika we waipataje? Unless we ni director wa hiyo filamu
Tunaishi naye door to door akiingiza tunasikia kila kitu na kama tupo likizo hatuendi makazini na shuleni basi tunaona .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndo hua unapangwa hivyo katoto kazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…