Acheni kumbeza Mzee wa Msoga

Jana Ulirudi Usiku

JF-Expert Member
Sep 9, 2021
2,363
2,261
Salaam! Msema kweli mpenzi wa Mungu, hivi nyie mnaosema eti jiwe alikuwa akimtukana hadharani mzee wa Msoga, ni wapumbavu?

Bila Mzee wa Msoga(MS), Jiwe angekuwa Rais? Alikuwa na uwezo wa kukata jina lake kwenye list ya watia nia kwani alikuwa mwenyekiti wa chama, ila halufanya hivyo.

Je, mbona hakumtumbua uwaziri kama alimchukia?

Kubalini au kataeni ila MS ana historia na mchango mkubwa sana mpaka Jiwe kuwa Rais, Jiwe mwenyewe aliwahi kukiri hili.

Japo kuna ukakasi wakati alipokuwa anatoa madongo kimafumbo kwa MS, hapo ndio pagumu ila haimaanishi chochote, ni masuala ya kisiasa tu.

Nawasilisha, wajuzi njoeni hapa!
 
Hakika.....

Ni ukosefu wa uelewa tu kuwashambulia na kuwazodoa MARAIS WASTAAFU.....

Tanzania yetu ni mfano wa kuigwa kwa MARAIS kupeana vijiti kwa amani.....hili nalo hatulioni?!!!
Hili nalo ni dogo?!!
Hili nalo si la kupongezwa na kujivunia?!!

Hili haliwezi kuigwa na Kenya ,Uganda ,Burundi ,Rwanda ,Msumbiji ,DRC ,Liberia ,Sierra Leone na kwingineko?!!!

Tulipende TAIFA LETU BORA
Tuwathamini VIONGOZI WETU WASTAAFU.....

Hata Kama tunaziiga siasa za kiliberali zilizotopea mno hebu basi TUZIONEE AIBU NAFSI ZETU....

Hatuliwezi hilo?!!

SIEMPRE JMT
NCHI KWANZA
 
Salaam! Msema kweli mpenzi wa Mungu, hivi nyie mnaosema eti jiwe alikuwa akimtukana hadharani mzee wa Msoga, ni wapumbavu?

Bila Mzee wa Msoga(MS), Jiwe angekuwa Rais? Alikuwa na uwezo wa kukata jina lake kwenye list ya watia nia kwani alikuwa mwenyekiti wa chama, ila halufanya hivyo.

Je, mbona hakumtumbua uwaziri kama alimchukia?

Kubalini au kataeni ila MS ana historia na mchango mkubwa sana mpaka Jiwe kuwa Rais, Jiwe mwenyewe aliwahi kukiri hili.

Japo kuna ukakasi wakati alipokuwa anatoa madongo kimafumbo kwa MS, hapo ndio pagumu ila haimaanishi chochote, ni masuala ya kisiasa tu.

Nawasilisha, wajuzi njoeni hapa!
Mwa maelezo ya Dr.Antonio diallo mapoja na maneno yake mwenyewe
Screenshot_20211007-142641.jpg
images%20(7).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika.....

Ni ukosefu wa uelewa tu kuwashambulia na kuwazodoa MARAIS WASTAAFU.....

Tanzania yetu ni mfano wa kuigwa kwa MARAIS kupeana vijiti kwa amani.....hili nalo hatulioni?!!!
Hili nalo ni dogo?!!
Hili nalo si la kupongezwa na kujivunia?!!

Hili haliwezi kuigwa na Kenya ,Uganda ,Burundi ,Rwanda ,Msumbiji ,DRC ,Liberia ,Sierra Leone na kwingineko?!!!

Tulipende TAIFA LETU BORA
Tuwathamini VIONGOZI WETU WASTAAFU.....

Hata Kama tunaziiga siasa za kiliberali zilizotopea mno hebu basi TUZIONEE AIBU NAFSI ZETU....

Hatuliwezi hilo?!!

SIEMPRE JMT
NCHI KWANZA
Shabaaaash! Umemaliza, tuwaache wastaafu wetu wapumzike, tuchape kazi. Kama wao wenyewe wanapendana sisi ni nani tuwachukie? Bila mzee JK, JPM tungemuona wapi? Tulitizame hili kwa jicho la tatu.

Tumuache mzee wetu apumzike.
 
Ilikuwa lazima Late John Joseph awe Rais, Kikwete hakuwa na uwezo wa kukata jina maana wakati ulikuwa umejiri ili Legendary aonyeshe umwamba.

Falsafa ya Mola ni kuwa "muda ukifika wa wewe kuwa juu hakuna awezaye kukushusha, mpaka muda wako ukiisha"
 
Hakika.....

Ni ukosefu wa uelewa tu kuwashambulia na kuwazodoa MARAIS WASTAAFU.....

Tanzania yetu ni mfano wa kuigwa kwa MARAIS kupeana vijiti kwa amani.....hili nalo hatulioni?!!!
Hili nalo ni dogo?!!
Hili nalo si la kupongezwa na kujivunia?!!

Hili haliwezi kuigwa na Kenya ,Uganda ,Burundi ,Rwanda ,Msumbiji ,DRC ,Liberia ,Sierra Leone na kwingineko?!!!

Tulipende TAIFA LETU BORA
Tuwathamini VIONGOZI WETU WASTAAFU.....

Hata Kama tunaziiga siasa za kiliberali zilizotopea mno hebu basi TUZIONEE AIBU NAFSI ZETU....

Hatuliwezi hilo?!!

SIEMPRE JMT
NCHI KWANZA
Yule chizi mwendakuzimu ndio slikuwa akiwatukana watangulizi wake na kujiona yeye ndio mwenye akili, wenzanke walikuwa bogus, jinga sana hilo jamaa yenu.
 
Kwa kua waTanzania ni wasahaulifu na wanafiki,mtasema ni mtu poa...ila in the late 2000s- early 2010s kwA wengi alikua dhaifu etc.....
 
Salaam! Msema kweli mpenzi wa Mungu, hivi nyie mnaosema eti jiwe alikuwa akimtukana hadharani mzee wa Msoga, ni wapumbavu?

Bila Mzee wa Msoga(MS), Jiwe angekuwa Rais? Alikuwa na uwezo wa kukata jina lake kwenye list ya watia nia kwani alikuwa mwenyekiti wa chama, ila halufanya hivyo.

Je, mbona hakumtumbua uwaziri kama alimchukia?

Kubalini au kataeni ila MS ana historia na mchango mkubwa sana mpaka Jiwe kuwa Rais, Jiwe mwenyewe aliwahi kukiri hili.

Japo kuna ukakasi wakati alipokuwa anatoa madongo kimafumbo kwa MS, hapo ndio pagumu ila haimaanishi chochote, ni masuala ya kisiasa tu.

Nawasilisha, wajuzi njoeni hapa!
Bila uwepo wa Mkapa na Askofu Pengo yule kichaa asingepewa hiyo nafasi.

Kikwete mtu wake alikuwa ni Membe na akashughulikiwa vilivyo na mtandao wa Lowasa hakuweza kutobowa tatu bora.
 
Ilikuwa lazima Late John Joseph awe Rais, Kikwete hakuwa na uwezo wa kukata jina maana wakati ulikuwa umejiri ili Legendary aonyeshe umwamba.

Falsafa ya Mola ni kuwa "muda ukifika wa wewe kuwa juu hakuna awezaye kukushusha, mpaka muda wako ukiisha"
Ni kweli ila Mungu anatumia watu, na ndio akamtumia JK. Angeweza hata kumsingizia case amfukuze uanachama au kumtumbua uwaziri ili ampoteze kisiasa, kwani alikuwa na mamlaka kwa wakati ule, tena mamlaka makubwa mno, ila mzee wa watu hakuwa na hiyana.

JK, JPM! Wote ni wachapakazi ila wametofautiana kiutendaji, JK hakuwa mkali ila JPM alikuwa mkali.

Watu waovu na wapigaji walitumia upole na ukimya wa mzee JK kufanya maovu na kumchafulia jina, ila mzee alikuwa kimya tu hakudili nao. Kama mnavyojua mzee wa Msoga alikuwa ni mtu mwenye haya mno katika suala la kumtumbua mtu au kumuwajibisha mtu.

Waovu wakatumia udhaifu huo wa JK.

Tuwaombee wastaafu na kuwapongeza mno kwa kazi ngumu ya kudumisha amani katika kukabidhiana vijiti. Heko kwao, huo ndio uzalendo na Utanzania.
 
Bila uwepo wa Mkapa na Askofu Pengo yule kichaa asingepewa hiyo nafasi.

Kikwete mtu wake alikuwa ni Membe na akashughulikiwa vilivyo na mtandao wa Lowasa hakuweza kutobowa tatu bora.
Nimeongea kwa kum-note JK na JPM wote wawili, waliwahi kuzungumza hilo.
 
Amini nakwambia bila Mkapa, Magufuli asingekuwa Rais, jina lake wala ata lisingejadiliwa kabisa.

Pia kuna kipindi JK alimuondoa Magufuli kwenye baraza la mawaziri mpaka Mkapa akaja juu ndipo akapewa u waziri wa mifugo na uvuvi.

Sijui ni kwanini tu JPM ulikubali kufa kizembe hivyo!
 
Amini nakwambia bila Mkapa, Magufuli asingekuwa Rais, jina lake wala ata lisingejadiliwa kabisa.

Pia kuna kipindi JK alimuondoa Magufuli kwenye baraza la mawaziri mpaka Mkapa akaja juu ndipo akapewa u waziri wa mifugo na uvuvi.

Sijui ni kwanini tu JPM ulikubali kufa kizembe hivyo!
Hii ni mpya kwangu, ndio nimeisikia leo.
 
Amini nakwambia bila Mkapa, Magufuli asingekuwa Rais, jina lake wala ata lisingejadiliwa kabisa.

Pia kuna kipindi JK alimuondoa Magufuli kwenye baraza la mawaziri mpaka Mkapa akaja juu ndipo akapewa u waziri wa mifugo na uvuvi.

Sijui ni kwanini tu JPM ulikubali kufa kizembe hivyo!
Kwa hiyo ule ni unafiki tu wa JK na JPM? Unataka kusema hivyo?
 
Back
Top Bottom