Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
Sio kwa miaka hii ambayo imejaa wasichana warembo kila kona, ukiwa na pesa ukipiga tu chafya hawa hapa lukuki, kwanini nisumbuke na mwenye pozi ilihal wa dizain yake wamejaa?Hujashka pesa z ukwel ww,,,, iv umewah kuw na pesa alaf unae mfukuzia humpati???? na akija hadum hata sex huambulii??? Waulize wanaolia watakwambia
Tatizo wanaangalia sana tamthilia za kifilipino na kilatin na kuwatamkia wachumba Please baby....Com on baby n.kWanawake wamekua wagumu, wanaume wamekua laini ka biscuits
Hata wewe umeshtuka Afrodenzi,basi hakuna mwanamke ataacha kupata somo.mmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhh
Nasikitishwa na tabia ya vijana wengi ambao nawaona wakiwa na miili iliyodhohofika ukimuuliza eti kwa kuwa ametoswa na msichana aliempenda oh! Kamfumania mpenzi wake akiduu na mvulana mwingine, mapenzi yapo waliyakuta babu zetu na sisi tumeyakuta na tutayaacha.
Mbaya zaidi vijana wengi ndio waathirika wa kubwa wa tatizo hili la kulilia mapenzi,wanaacha kazi zao za maana,wanagombana na ndugu zao wanatengana na marafiki zao kisa mapenzi,msingi mkubwa wa kuyafurahia maisha ya mapenzi ni kufanya kazi kwa juhudi kujimudu kimaisha na kutokuyapa kipaumbele sana mapenzi,mimi naamini ukiwa na fedha utapata msichana yeyote unaye mpenda.
Ukiwa na pesa ata ukiamua kumiliki wasichana mamia kwa mamia na wote ukawaweka sehemu moja hakuna anayeweza kukupinga ukiyaendekeza sana mapenzi utajikuta unapoteza muelekeo wa maisha utaishi maisha mabovu mithiri ya teja alieathiriwa na madawa ya kulevya mbaya zaidi ata wazee wetu pia walilizwa sana na mapenzi lakini walisahau wakafanya mambo mengine wakaweza kutufikisha hapa tulipo.
Kitu cha msingi ili kuondoa uchungu ingia bafuni vua nguo zote lia hadi machozi yakauke najua utakua na uchungu sana sasa hakikisha unamaliza uchungu wote ulio nao kisha chukua maji oga jipe moyo anza maisha mapya,maisha ya kufanya kazi kwa bidii,maisha ya kuwa karibu na ndugu na marafiki maisha ya kuwasaidi wazazi maisha ya kuacha starehe zote.
Naamini matunda ya kufanya kazi kwa juhudi yatakupa familia bora na mke unae muhitaji utapata msichana mzuri ambae atakupenda, atakupenda sana utaiona dunia yote ni yako na hakuna anaeifurahia kama wewe.Sasa vijana tuamke tujifunze kupitia wenzetu wenye mafanikio ukifanikiwa kusahau maumivu ya mapenzi naamini mafanikio au ndoto zote ulizo nazo zitakuwa mbioni kutimia.
Anza kusoma vitabu tafuta marafiki wapya anza kufanya ibada mkumbuke Muumba wako na amini kuwa Mungu yupo na bila yeye usingefika hapo ulipo, omba msamaha kila ulie mkosea, fanya sana mazoezi,jifunze kutembelea sehemu ambazo hujawahi kutembelea kisha jipe muda mwingi wa kupumzika,achana kabisa na vilevi ukishindwa punguza,kisha iambie nafsi yako "sasa naamua kuwa mpya nayafuta yote yaliyopita nahitaji furaha, amani na mafanikio"
MUNGU AENDE AKAKUBARIKI WEWE UNAETESEKA NA KULILIA MAPENZI AMINI KILIO CHAKO KITAFIKA MWISHO utampata atakaejua na kuzithamini hisia zako utapata faraja ya moyo wako ila yote hayo yatatimia endapo utaanza upya sahau kila kilichopita, samehe kila aliekukosea na amini alikukosea ili akufikishe sehemu iliyo bora, akufikishe sehemu nzuri kimaisha na hakukukosea ili akudidimize.
...itaendelea...
Ni wanaume wengi tu japo wa dar wanaongozaTatizo wanaangalia sana tamthilia za kifilipino na kilatin na kuwatamkia wachumba Please baby....Com on baby n.k
Btw ni wanaume wa Dar,
yap bora ulie maana kuna siri kubwa sana kwenye machozi mimi huwa nikilia nakuwa mwepesi sana ata kama nilikuwa na tatizo kubwa kiasi gani nahisi kama nimeshalitua baada ya kuliaYANINI KURUNDIKA SUMU MWISHO ZIKUUWE ?? UKIACHWA LIA SANA TENA KWA SAUTI NYIKANI
WAAFRICA TUNAJIFANYA WAGUM HATULII AISEE BINAFSI NALIA SANA TU KUONDOA SUM MOYONI JIWEKE HURU TENA UKIACHWA NDIO LIA MPAKA KAMASI LIISHE ASEE SIJUI HUWA KAMASI LINATOKEA WAPI DU
mh huyo kweli wa dah lakini mimi nilie kulia nzega subutu...napiga napiga nusu ya kuuaNi wanaume wengi tu japo wa dar wanaongoza
Kuna jamaa kugombana na mkewe akaanza kusema harudi nyumbani anamuogopa mkewe labda apewe security ndo atarudi ha ha ha ha ha ha Maskini wanaume
hayaja kukuta mzee mwenzangu na kama kweli hayajakukuta muombe Mungu akuepushie maana kilio cha mapenzi mara nyingi hukosa m'bemberezajiUkiona Kijana/wakiume analialia na mapenzi..
Huyo ni Dhaifu na hasipo shtuka ataangamia
Sasa kama aliolewa yeye atarudije? Hiyo ni sawa na kupigwa talaka.Ni wanaume wengi tu japo wa dar wanaongoza
Kuna jamaa kugombana na mkewe akaanza kusema harudi nyumbani anamuogopa mkewe labda apewe security ndo atarudi ha ha ha ha ha ha Maskini wanaume
funzo wamelipata japo wengi wamejifanya hawajaelewaHata wewe umeshtuka Afrodenzi,basi hakuna mwanamke ataacha kupata somo.
enh kumbe wanaume siku hizi nasi tunaolewa...........?Sasa kama aliolewa yeye atarudije? Hiyo ni sawa na kupigwa talaka.
ila enzi zetu mzee mwenzangu unaenda shamba ukirudi unarundo la kuni begani ukitoka hapo unafukuzana na ng'ombe...siku ya kukimbizana na nyani shambani nayo si mchezo thats why wazee walimudu kudumu na ndoa zao...Tatizo wanaangalia sana tamthilia za kifilipino na kilatin na kuwatamkia wachumba Please baby....Com on baby n.k
Btw ni wanaume wa Dar,
kulikoni tena mamymmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhh
aisee ila tumetofautiana ila kama huamini usifanye kazi uone kama hutoachikaUlichofanya ni kuchanganya mbivu na mbichi mkuu, mapenzi na pesa. Penye pesa hakuna mapenzi, ni ununuzi wa ngono, bidhaa kama bidhaa nyingine, hapo hutokuwa unapendwa wewe ila wallet. Mapenzi hayana macho/hayachagui hayaangali uwezo wa mtu kiuchumi hasa kipesa, mtu anapenda mtu na sio kitu, wala mapenzi sio ngono.
Yaani full mazingaombwe.funzo wamelipata japo wengi wamejifanya hawajaelewa
mapicha picha enhYaani full mazingaombwe.