Acheni kujifanya wajuaji kuhama vyuo

Acheni kujifanya wajuaji kuhama vyuo

wisco maduhu

Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
33
Reaction score
16
Wanafunzi wote mnaotaka kuhama vyuo muwe makini hakuna chuo kitakachokupokea wakati bado vinahitaji kudahili wanafunzi 4500 kwa awamu ya nne,kuweni wapole na msome pale mlopochaguliwa huu mwaka una misukosuko mingi haswaaa zaidi fedha za mikopo zishaanza kutolewa,someni pale mlipochaguliwa ujuaji haufai mtazigharimu familia zenu kwa ujuaji
 
kuhama chuo ni zaid ya balaaa.Unaweza kujikuta unasoma miaka miwili bila mkopo then unakuja kupata mkopo mwaka wa mwsho.Sishauri mtu kuhama chuo aisee kwa jinsi nlivowahi kuona watu wakihangaika kwa hili
 
Umeeleza vizuri.. nimeipenda pia. Ila hujajua sababu za wao kuhama.
 
Watu kwa kukatishana tamaa bhana.
Mtu kufanya transfer inakuuma nin?
Umeambiwa kila mtu anasubir mikopo uchwara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom